WANARIADHA WANNE TANZANIA KUWANIA MEDALI LEO CHINA
Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akimpongeza rais mpya wa Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF), Lord Sebastain Coe mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu nchini China. Mtaka yupo nchini China akiwakisha RT katika mkutano mkuu wa IAAF na kupiga kura kumchagua kiongozi mpya.
Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akipokea msaada wa wa vifaa vya michezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Nike, Rebet Jones mjini Beijing China. Mtaka yupo nchini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Aug
Wanariadha wanne waenda nchini China bila daktari
WANARIADHA wanne na kiongozi mmoja wa riadha wanaondoka nchini leo kwenda Beijing, China kushiriki mashindano ya dunia yatakayoanza Alhamisi.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania kusaka medali Madola leo
11 years ago
Michuzimakamu wa rais wa china,Li Yuanchao afungua mkutano wa uwekezaji kati ya tanzania na china jijini Dar leo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Nyalandu achukua fomu ya kuwania urais wa tanzania mjini dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s640/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-isFF2XKAnqI/VXR2MwdrHNI/AAAAAAAHcyw/JNDo5TABzGQ/s640/unnamed101.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5QVUjRbUzBw/VXR2OHKTT_I/AAAAAAAHcy4/EohR90Rihbg/s640/unnamed102.jpg)
9 years ago
StarTV18 Dec
Raia wanne wa China wahukumia miaka 20 jela
Mahakama ya Mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China baada ya kuwakuta na hatia ya kuingiza nchini pembe 11 za Faru kinyume na Sheri ya Wanyamapori namba tano ya mwaka 2009 na Sheria ya Uhujumu Uchumi ya Tanzania.
Katika adhabu hiyo Mahakama pia imeamuru kutaifishwa kwa gari binafsi namba T 103 DER iliyotumiwa na raia hao wa China kuingiza pembe hizo nchini Novemba 6 mwaka huu kutoka nchini Malawi kupitia mpaka wa Kasumulo uliopo wilayani Kyela mkoani...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
‘Medali ya Madola imeachwa Tanzania’
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tPY4vnvPlpg/VP8vlw0Y5NI/AAAAAAAHJaI/o80PH40KUZc/s72-c/unnamed%2B(71).jpg)
Dk.Shein akutana na Balozi wa China nchini Tanzania leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-tPY4vnvPlpg/VP8vlw0Y5NI/AAAAAAAHJaI/o80PH40KUZc/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JWBzCdgIl-M/VP8vl3dBYzI/AAAAAAAHJaA/jwgPlbnisww/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cPIkNr2mMqI/VP8vlxkhsOI/AAAAAAAHJZ8/WahOsXuCais/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Mkenya awafunda wanariadha wa Tanzania