Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya awafunda wanariadha wa Tanzania

Bingwa mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Kipchoge Keino amewaambia wanariadha wawili wa Tanzania waliokokambini Kenya kuwa nguzo kuu ya kufanikiwa ni kuzingatia nidhamu, kujituma na kujiamini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret

Wanariadha wa Tanzania wajifua Eldoret, nchini Kenya kwa michezo ya Afrika itakayofanyika nchini Congo Brazzaville,Septemba.

 

9 years ago

Michuzi

WANARIADHA WANNE TANZANIA KUWANIA MEDALI LEO CHINA

 Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akimpongeza rais mpya wa Shirikisho la Riadha Duniani (IAAF), Lord Sebastain Coe mara baada ya kushinda katika uchaguzi mkuu nchini China. Mtaka yupo nchini China akiwakisha RT katika mkutano mkuu wa IAAF na kupiga kura kumchagua kiongozi mpya.Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Anthony Mtaka akipokea msaada wa wa vifaa vya michezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Nike, Rebet Jones mjini Beijing China. Mtaka yupo nchini...

 

11 years ago

Michuzi

MHE. TEDROS ADHENOM, WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ETHIOPIA ATEMBELEA KAMBI YA WANARIADHA WA TANZANIA ADDIS ABABA

Mhe. Dr. Tedros Adhenom, wa tatu kutoka kulia akiwa na wanaridha wa Watanzania wa mbio ndefu waliotia kambi mjini Addis Ababa. Wa pili kulia ni Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, wa Kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia, Mhe. Balozi Solomon. Na wengine wailiokaa ni Maafisa Waandamizi wa Wizara ya Michezo ya Ethiopia. Mhe. Dr. Tedros aliwaasa wanariadha hao na kuwataka wafanye vizuri katika mashindano ya Madola yatakayofanyika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

10 years ago

Mwananchi

DK Bilal awafunda waajiri

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amewataka waajiri nchini kuridhia kuwaajiri Watanzania waliopatiwa mafunzo ya utambuzi wa ujuzi nje ya mfumo rasmi, ili kupunguza tatizo la ajira na kutumia uzoefu wao kikazi kuongeza uzalishaji.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika awafunda wanawake Ubungo

NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Peen Lawyer awafunda wasanii

MSANII wa Tanzania anayeishi Ujerumani, Peter Maziku ‘Peen Lawyer’, amewataka wasanii wa Tanzania kuwa wabunifu wanapotunga mashairi ya kazi zao, ikiwa ni pamoja na kutengeneza video bora za nyimbo walizofanya....

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani