Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika awafunda wanawake Ubungo

NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mnyika: Rais atekeleze agizo lawananchi wa Ubungo

Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita. 

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatia wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo

  Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita. 

 

10 years ago

Tanzania Daima

Josephine Slaa awafunda wanawake Dar

MKE wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Josephine Slaa, amesema japo wanawake ndio chanzo cha ukuaji wa uchumi nchini, bado viongozi waliopo madarakani wanawakandamiza. Aliyasema hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Meena awafunda wajumbe wanawake

Sharon Sauwa, Mwananchi

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunifu wa Mitindo Amina Plummer awafunda wanawake wajasiriamali namna ya kujitambua

   

Mbunifu na Mmiliki wa Maduka ya Amina Design ambaye pia ni Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Amina Plummer akitoa mada kwenye semina ya kuwawezesha  wanawake kuwa wajasiriamali kupitia vipodozi vya Luv Touch Manjano iliyoandaliwa na Manjano Foundation kwa lengo la kuwajengea udhubutu wanawake kufanya biashara pia namna ya kujiwekea akiba na kutumiza malengo yao. Taasisi ya Manjano Foundation, ambayo imeanzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa Miradi  ambayo itamuinua mwanamke wa...

 

10 years ago

Mwananchi

DK Bilal awafunda waajiri

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amewataka waajiri nchini kuridhia kuwaajiri Watanzania waliopatiwa mafunzo ya utambuzi wa ujuzi nje ya mfumo rasmi, ili kupunguza tatizo la ajira na kutumia uzoefu wao kikazi kuongeza uzalishaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchungaji awafunda wajumbe

MCHUNGAJI wa Kanisa la TAG mjini hapa, Vangast Salum, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuhakikisha wanatekeleza kile walichotumwa na wananchi. Alitoa kauli hiyo mjini hapa jana na kusema...

 

11 years ago

Mwananchi

Chikawe awafunda waliopewa uraia

Wakimbizi waliopewa uraia wa Tanzania wameaswa kuzingatia sheria na tararibu za nchi ikiwa ni pamoja na kutokushiriki kupiga kura katika uchaguzi mkuu mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani