Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatia wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Rais Kikwete sikia kilio cha wafanyabiashara
KATIKA siku za karibuni wafanyabiashara nchini wapo kwenye mgomo wa kushinikiza kutotumika kwa mashine za kielektroniki za kukusanya kodi ya mapato, mashine hizo zinasambazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)....
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Rais Kikwete asikilize kilio hiki cha SHIWATA
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, hivi karibuni uliitisha kongamano katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijiji Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii, wanamichezo...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mnyika awafunda wanawake Ubungo
NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Mnyika: Rais atekeleze agizo lawananchi wa Ubungo
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Maji kilio kikuu Uchaguzi 2015
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Maji yazidi kumliza Mnyika
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema ufumbuzi wa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam hautapatikana kwa kuchimba visima bali kuboresha miundombinu. Mbali na hilo, mbunge huyo...