Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatia wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete sikia kilio cha wafanyabiashara

KATIKA siku za karibuni wafanyabiashara nchini wapo kwenye mgomo wa kushinikiza kutotumika kwa mashine za kielektroniki za kukusanya kodi ya mapato, mashine hizo zinasambazwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Kikwete asikilize kilio hiki cha SHIWATA

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) chini ya Mwenyekiti wake, Cassim Taalib, hivi karibuni uliitisha kongamano katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijiji Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wasanii, wanamichezo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika awafunda wanawake Ubungo

NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika: Rais atekeleze agizo lawananchi wa Ubungo

Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita. 

 

11 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze

 Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...

 

10 years ago

Mwananchi

Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo

  Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita. 

 

9 years ago

Mwananchi

Maji kilio kikuu Uchaguzi 2015

Wakati wagombea urais wa vyama mbalimbali wakiendelea kujinadi mikoani, wananchi wanaonekana kupaza sauti zaidi kutaka kilio chao cha tatizo la maji kisikike.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maji yazidi kumliza Mnyika

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema ufumbuzi wa tatizo la maji katika Jiji la Dar es Salaam hautapatikana kwa kuchimba visima bali kuboresha miundombinu. Mbali na hilo, mbunge huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani