Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKviiitYxKsXOKyvoO6xWIQn-IxMdSestBvRQU7LuJRl15xmFBVaDSj0FudrqXzqGquEynFZHWRHxlgtFosRWeE/IMG20150512WA0002.jpg)
KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qL8nwof18A/XsTisfJnQeI/AAAAAAALq5I/CiHAhH1W0yQKQVE0gHGuIKWKd4WZ6UEAgCLcBGAsYHQ/s72-c/06dfe0c0-1a6c-49d4-a23d-654a7710382c.jpg)
KITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI, MKURUGENZI WA JIJI AFUNGUKA
JIJI la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi katika mkutano wake na wandishi wa habari wakati alipotembelea Ujenzi wa Kituo hicho kinachojengwa katika eneo la Nzuguni.
Kunambi amesema ujenzi wa Kituo hiko ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote kwa ukanda wa Afrika Mashariki tayari umekamilika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s72-c/images.jpg)
kilio cha mdau juu ya hali ya uchafuzi wa Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s1600/images.jpg)
Ombi langu kwa
Serikali itoe ajira kwa vijana wasio na...
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Kituo cha mabasi Ubungo ‘kinavyotafunwa’
Katika gazeti hili toleo la jana, tuliaandika namna mapato yanayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo, (UBT) kilichopo jijini Dar es Salaam, yanavyokusanywa na kuishia mikononi mwa watu wachache huku miundombinu yake ikizidi kudorora.
Watoto walala juu ya miti
Gazeti hili lilibaini kuwapo kundi kubwa la watoto kutoka mikoa mbalimbali wamejenga makazi yao ya kudumu katika eneo hilo na kuwa sehemu ya maisha yao.
Jua linapozama watoto hao wenye umri kati ya miaka 7 hadi...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Utapeli wakithiri Kituo cha Mabasi Ubungo
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Kero za wasafiri Kituo cha Mabasi Ubungo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlKJozAQI-fn4mLm3cL95zKjx61zOQpZExPfGeBFCcYvnbVKiD89GUIUmvJuGwCfHsR84vFfCgBpPMUaY3j5*qc/3.jpg?width=650)
AJALI MBAYA KITUO CHA MABASI UBUNGO JIJINI DAR
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO