AJALI MBAYA KITUO CHA MABASI UBUNGO JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlKJozAQI-fn4mLm3cL95zKjx61zOQpZExPfGeBFCcYvnbVKiD89GUIUmvJuGwCfHsR84vFfCgBpPMUaY3j5*qc/3.jpg?width=650)
Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam. Ajari mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajari imehusisha magari 6 likiwemo UDA mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Breaking News!!! Â Mabomu ya Machozi yanarindima muda huu Kituo cha Mabasi Ubungo hali mbaya mgomo wa madereva
Katibu wa Madereva Mboka akiongea na wandishi wa Habari muda huu, kabla ya mabomu hayajarindima
…Mgomo wa Mabasi kuwa endelevu hadi watakapo achiwa viongozi wao wanaoshikiliwa na jeshi la Polisi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Modewji blog ambayo imepiga kambi katika kituo cha Mabasi Ubungo kuanzia majira ya saa 11, alfajiri, ni kuwa tayari baadhi ya viongozi wa madereva wametoa tamko rasmi kuwa mgomo wao huo utaendelea hadi hapo viongozi wao wakuu zaidi ya Sita (6) wanaoshikiliwa na...
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Kituo cha mabasi Ubungo ‘kinavyotafunwa’
Katika gazeti hili toleo la jana, tuliaandika namna mapato yanayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo, (UBT) kilichopo jijini Dar es Salaam, yanavyokusanywa na kuishia mikononi mwa watu wachache huku miundombinu yake ikizidi kudorora.
Watoto walala juu ya miti
Gazeti hili lilibaini kuwapo kundi kubwa la watoto kutoka mikoa mbalimbali wamejenga makazi yao ya kudumu katika eneo hilo na kuwa sehemu ya maisha yao.
Jua linapozama watoto hao wenye umri kati ya miaka 7 hadi...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Utapeli wakithiri Kituo cha Mabasi Ubungo
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Kero za wasafiri Kituo cha Mabasi Ubungo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKviiitYxKsXOKyvoO6xWIQn-IxMdSestBvRQU7LuJRl15xmFBVaDSj0FudrqXzqGquEynFZHWRHxlgtFosRWeE/IMG20150512WA0002.jpg)
KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v6oqt1aMXrg/U5IxooDn7pI/AAAAAAAFoJo/wEPGcX65fzA/s72-c/unnamed.jpg)
WATOTO WALIVYOJITOA KUKIPIGA SOP SOP KITUO CHA DALADALA CHA UBUNGO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-v6oqt1aMXrg/U5IxooDn7pI/AAAAAAAFoJo/wEPGcX65fzA/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ujyo1hdWous/U5IxpGaRFQI/AAAAAAAFoJs/7l9Vqfj600Y/s1600/unnamed.jpgM.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jvRP1JVBLHA/U5IxpArl54I/AAAAAAAFoJ0/o8wMeYY3YGI/s1600/unnamed.jpgZ.jpg)