kilio cha mdau juu ya hali ya uchafuzi wa Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s72-c/images.jpg)
Naomba kutoa pendekezo kwa Wizara husika,Wakuu wa mikoa ,Wakuu wa wilaya , Mameya na Halimashauri husika juu ya uchafu unaozidi kukidhili kila siku kwa baadhi ya maeneo ya miji mikuu na karibu na mahoteli yanayolisha wasafiri kuelekea mikoani, nadhani na wao pia watakuwa mashaidi juu ya mifuko ya plastic inayozagaa ovyo barabarani, na mitaro ya maji iliyojaa mifuko na maji machafu, na mchanga iliyoachwa baada ya kuziburiwa katika mitaro,
Ombi langu kwa
Serikali itoe ajira kwa vijana wasio na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
11 years ago
Habarileo08 Jun
Chanzo cha uchafuzi wa mazingira Kahama chaelezwa
ONGEZEKO la watu pamoja na mwingiliano wa biashara katika Mji wa Kahama kumeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Kwanini Mwanza wanafumbia macho uchafuzi wa mazingira?
“SIKIO la kufa halisikii dawa.” Huu ni usemi wa wahenga ambao hutumika mtu anapozungumzia matatizo kwa mhusika, lakini mshauriwa anapuuzia. Kwa sasa, Mkoa wa Mwanza unatajwa na serikali kwamba asilimia...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Uchafuzi mazingira Mwanza na danadana za kuchukua hatua
LICHA ya kuwepo kwa sera na sheria zinazozuia uchafuzi wa mazingira nchini, hali hii inaonekana kuibua mapya katika uongozi wa Jiji la Mwanza. Ingawa wapo baadhi ya watu wanaodaiwa kutiririsha...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA KIKAO CHA DHARURA CHA HALI YA MAZINGIRA KATIKA MIGODI YOTE NCHINI
9 years ago
StarTV03 Jan
Uchafuzi Wa Mazingira Mwanza Hatua kali kuchukuliwa kwa wahusika
Kamati ya usafi wa mazingira ya Pasiansi Mashariki imeitaka halmashauri ya jiji la Mwanza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote wanaohusika kuchafua mazingira na kuhatarisha maisha ya watu.
Ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya watu ambao wanadaiwa kutiririsha maji taka na vinyesi katika mitaro inayotiririshamaji kuelekea katika Ziwa Viktoria.
Haya yanajiri katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na diwani wa kata ya Kawekamo wilayani Ilemela jijini Mwanza Japhesi Joel pamoja na kamati...
10 years ago
Michuzi23 Oct
10 years ago
GPLAZZY MLEMAVU MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU