Chanzo cha uchafuzi wa mazingira Kahama chaelezwa
ONGEZEKO la watu pamoja na mwingiliano wa biashara katika Mji wa Kahama kumeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Apr
Chanzo cha watoto mitaani chaelezwa
MOJA ya sababu kubwa ya kuwapo kwa watoto wa mitaani nchini ni wazazi na walezi kuacha kuwajibika na kuwatekelezea haki zao watoto.
9 years ago
Habarileo29 Dec
Chanzo cha migogoro ya ardhi Kilwa chaelezwa
KUKOSA uelewa juu ya Sheria ya Ardhi kwa jamii katika vijiji vya Kiranjeranje na Mandawa wilayani hapa, kumetajwa kusababisha migogoro ya mara kwa mara ya ardhi katika maeneo hayo.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Chanzo cha msongamano wa magari Dar chaelezwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s72-c/images.jpg)
kilio cha mdau juu ya hali ya uchafuzi wa Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s1600/images.jpg)
Ombi langu kwa
Serikali itoe ajira kwa vijana wasio na...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Kwanini Mwanza wanafumbia macho uchafuzi wa mazingira?
“SIKIO la kufa halisikii dawa.” Huu ni usemi wa wahenga ambao hutumika mtu anapozungumzia matatizo kwa mhusika, lakini mshauriwa anapuuzia. Kwa sasa, Mkoa wa Mwanza unatajwa na serikali kwamba asilimia...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Uchafuzi mazingira Mwanza na danadana za kuchukua hatua
LICHA ya kuwepo kwa sera na sheria zinazozuia uchafuzi wa mazingira nchini, hali hii inaonekana kuibua mapya katika uongozi wa Jiji la Mwanza. Ingawa wapo baadhi ya watu wanaodaiwa kutiririsha...
9 years ago
StarTV03 Jan
Uchafuzi Wa Mazingira Mwanza Hatua kali kuchukuliwa kwa wahusika
Kamati ya usafi wa mazingira ya Pasiansi Mashariki imeitaka halmashauri ya jiji la Mwanza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote wanaohusika kuchafua mazingira na kuhatarisha maisha ya watu.
Ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya watu ambao wanadaiwa kutiririsha maji taka na vinyesi katika mitaro inayotiririshamaji kuelekea katika Ziwa Viktoria.
Haya yanajiri katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na diwani wa kata ya Kawekamo wilayani Ilemela jijini Mwanza Japhesi Joel pamoja na kamati...
10 years ago
Michuzi23 Oct