Uchafuzi mazingira Mwanza na danadana za kuchukua hatua
LICHA ya kuwepo kwa sera na sheria zinazozuia uchafuzi wa mazingira nchini, hali hii inaonekana kuibua mapya katika uongozi wa Jiji la Mwanza. Ingawa wapo baadhi ya watu wanaodaiwa kutiririsha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV03 Jan
Uchafuzi Wa Mazingira Mwanza Hatua kali kuchukuliwa kwa wahusika
Kamati ya usafi wa mazingira ya Pasiansi Mashariki imeitaka halmashauri ya jiji la Mwanza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote wanaohusika kuchafua mazingira na kuhatarisha maisha ya watu.
Ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya watu ambao wanadaiwa kutiririsha maji taka na vinyesi katika mitaro inayotiririshamaji kuelekea katika Ziwa Viktoria.
Haya yanajiri katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na diwani wa kata ya Kawekamo wilayani Ilemela jijini Mwanza Japhesi Joel pamoja na kamati...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Kwanini Mwanza wanafumbia macho uchafuzi wa mazingira?
“SIKIO la kufa halisikii dawa.” Huu ni usemi wa wahenga ambao hutumika mtu anapozungumzia matatizo kwa mhusika, lakini mshauriwa anapuuzia. Kwa sasa, Mkoa wa Mwanza unatajwa na serikali kwamba asilimia...
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Uchafuzi wa mazingira waathiri Ziwa Victoria
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria umeshuka kutoka tani 750,000 hadi kufikia wastani wa tani 180,000. Hii inatokana na uchafuzi mkubwa wa mazingira. Uchafuzi wa...
11 years ago
Habarileo08 Jun
Chanzo cha uchafuzi wa mazingira Kahama chaelezwa
ONGEZEKO la watu pamoja na mwingiliano wa biashara katika Mji wa Kahama kumeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha uchafuzi wa mazingira.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s72-c/images.jpg)
kilio cha mdau juu ya hali ya uchafuzi wa Mazingira
![](http://3.bp.blogspot.com/-84LPiKR-DMs/U90UNM8jnLI/AAAAAAAF8fQ/GOJC5V5Fguk/s1600/images.jpg)
Ombi langu kwa
Serikali itoe ajira kwa vijana wasio na...
10 years ago
Michuzi23 Oct
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Bavicha watishia kuchukua hatua
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen