Bavicha watishia kuchukua hatua
Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) limelitaka Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwafikisha haraka mahakamani watu wote waliohusika na mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo vinginevyo watachukua hatua mkononi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Mar
Hatua za Italia za kudhibiti coronavirus: Taifa zima kuchukua hatua ya kujitenga.
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Umoja wa mataifa kuchukua hatua Yemen
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Torongey awataka Chalinze kuchukua hatua
ALIYEKUWA mgombea ubunge Chalinze kwenye uchaguzi mdogo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mathayo Torongey, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuacha kulalamika, badala yake wachukue hatua katika uchaguzi ujao....
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Hatua za kuchukua unapoibiwa simu yako
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Hatua za kuchukua kabla ya kuanzisha biashara mpya
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Uchafuzi mazingira Mwanza na danadana za kuchukua hatua
LICHA ya kuwepo kwa sera na sheria zinazozuia uchafuzi wa mazingira nchini, hali hii inaonekana kuibua mapya katika uongozi wa Jiji la Mwanza. Ingawa wapo baadhi ya watu wanaodaiwa kutiririsha...
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Warioba awataka JK, Dk Shein kuchukua hatua kunusuru Katiba
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
CCM imechelewa kuchukua hatua kwa wanaotangaza nia
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinataka kutuaminisha leo hii kuwa kina uwezo wa kuwadhibiti watu wanaotumia hila, ghilIba, kutenda kinyume na kanuni na taratibu za chama katika kuusaka uongozi ndani ya...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
SAKATA LA IPTL: Mabalozi waitaka Serikali kuchukua hatua kali