AZZY MLEMAVU MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU
Msanii wa Hip Hop, Ahazi Eliya a.k.a Azzy akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Azzy akiwa katika pozi kabla ya mahojiano na Global TV Online. Azzy akielezea historia yake ndani ya Global TV Online.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL22 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vzl1oJk-K3k/default.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha ajabu ndani ya Dar
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kwa jina la ‘King Nahh’ yupo jijini Dar es Salaam.
King Nahh yuko jijini akiwa ameambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson. Familia ya motto huyo ipo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Mtoto huyo amealikwa nchini kwa madhumuni ya kuungana au kukutana na watoto wenzake kuamsha hisia za za...
10 years ago
GPL11 Nov
11 years ago
KwanzaJamii30 Jul
Mtoto mwenye kipaji cha kukariri Bibili anahitaji msaada
10 years ago
VijimamboGRACE MAGORI MTOTO WA KITANZANIA MWENYE KIPAJI CHA KUIMBA AZIDI KUPAA DMV
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s72-c/1.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI CHA AJABU KUTOKA MAREKANI ATUA NCHINI LEO, KUFANYA KONGAMANO LA WATOTO NA WAZAZI KESHO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_Rv17MhYOQ/VbNqZrWajAI/AAAAAAAAxKE/rJqDXf0DzYk/s640/1.jpg)
MTOTO mwenye kipawa cha ajabu katika kutoa ushauri wa kujijengea uwezo wa kujiamini anayezidi kujipatia umaarufu mkubwa duniani, Lonnie Hudson maarufu kama ‘King Nahh’(Pichani), ametua jijini Dar es Salaam , leo.
King Nahh aliambatana na baba yake mzazi , Nyeeam Hudson ambapo wapo nchini kwa mwaliko wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Wisdom Partners.
Kesho mtoto huyo atafanya kongamano kubwa la watoto na wazazi katika Ukumbi wa Urafiki ambapo nia na madhumuni ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RBa6EB8Jgrw/UzuokLGhb8I/AAAAAAAFXxo/1cn-bbbZiyo/s72-c/unnamed.jpgJ.jpg)
MTOTO MWENYE KIPAJI ADHIMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-RBa6EB8Jgrw/UzuokLGhb8I/AAAAAAAFXxo/1cn-bbbZiyo/s1600/unnamed.jpgJ.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFNT2cNBbVg/XmK4p0I1ZvI/AAAAAAALhpo/LyPwfFRwyuArv9a3bfWm85d4T1VGvpQpwCLcBGAsYHQ/s72-c/9151b3eb-4e43-4115-9646-9c36144c8305.jpg)
Mlemavu mwenye ndoto ya kusimama kwa ‘miguu yake’
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFNT2cNBbVg/XmK4p0I1ZvI/AAAAAAALhpo/LyPwfFRwyuArv9a3bfWm85d4T1VGvpQpwCLcBGAsYHQ/s1600/9151b3eb-4e43-4115-9646-9c36144c8305.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/08c703eb-5964-41ce-a31f-907fb480aecb.jpg)
**************************
NA MWANDISHI WETU
KILA binaadam katika dunia hii ana matatizo yake ya kimaisha, hali ambayo inasababisha kila mmoja kusaka namna ya kufikia malengo kupitia kwa wadau mbalimbali ambao ndio kimbilio la ufanikishwaji huo.
Kwa mazingira ya sasa, wadau wanaweza kutoa msaada kwa jamii ama mdau mmoja mmoja kwa mujibu wa hitaji la mhusika.
Boniface Mokami (25), mlemavu wa miguu ambaye ni mmoja wa mfano wa wadau wenye uhitaji wa kuwezeshwa kwa usafiri aweze kushiriki...