Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AZZY, MKALI WA HIP HOP AMBAYE NI MLEMAVU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rapa wa Hip Hop mwenye “masters” ambaye hataki kazi

Kwa kawaida vijana wengi Afrika, hususan Tanzania wanapohitimu elimu ya juu, jambo ambalo hulifikiria ni kutafuta ajira.

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI HIP HOP KILA SIKU YA JUMAMOSI 10AM ET, KUONGEA LIVE NA WASANII MBALIMBALI WA SWAHILI HIP HOP

Kilimanjaro Studio sasa inakuletea kipindi cha muziki wa kizazi kipya kila siku ya Jumamosi saa 4 asubuhi kwa saa za Amerika ya mashariki Mtayarishaji na mtangazaji wa kipindi ni Buheti AbdulrahmanKipindi hiki kitakuwezesha kujua mambo yaliyojiri kila wiki kuhusiana na muziki na wanamuziki wa Bongo Flava na nafasi pekee ya kuweza kuburudika na muziki wa Bongo Flava huku ukipata historia ya wanamuziki hao.Ni kila Jumamosi ndani ya Kilimanjaro Studio kupitia www.vijimamboradio.com, au...

 

10 years ago

GPL

AZZY MLEMAVU MWENYE KIPAJI CHA HALI YA JUU

Msanii wa Hip Hop, Ahazi Eliya a.k.a Azzy akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo. Azzy akiwa katika pozi kabla ya mahojiano na Global TV Online. Azzy akielezea historia yake ndani ya Global TV Online.…

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Vichwa vinavyoibeba Hip Hop

MUZIKI wa Tanzania hususan wa kizazi kipya ‘Bongofleva’ unazidi kupasua anga kila kukicha kutokana na sababu kadha wa kadha, hivyo kukubalika kwa wengi. Awali wakati vijana wa miaka 90 walipoanza...

 

10 years ago

Mtanzania

Chemical: Hip hop si ya wanaume tu

CHEMICALNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Claudia Lubao ‘Chemical’, amewataka wasanii wa kike wafanye vitu vinavyoonekana vigumu kufanywa na wanawake ili wadhihirishie umma sera ya haki sawa kwa wote.

Chemical alisema mabinti wengi wanahofu ya kufanya aina hiyo ya muziki kwa sababu inaeleweka kuwa muziki ni kwa ajili ya wanaume pekee kitu ambacho si sahihi.

“Kikubwa ni kuthubutu na kufanya kile tunachokipenda bila kujali kitapokelewa kwa mtazamo gani kama mimi nafurahi kuwa...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Hip Hop Star Now MP in Tanzania


The Star
Hip Hop Star Now MP in Tanzania
AllAfrica.com
Tanzanian Hip Hop singer Joseph Haule popularly known as Professor Jay has won a parliamentary seat in the Tanzanian elections. The star clinched the Mikumi Constituency seat on an Opposition Chadema (Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo) ticket.
Professor Jay wins parliamentary seatThe Star

all 3

 

10 years ago

GPL

SARKODIE MFALME WA HIP HOP AFRIKA

Mkali wa Hip Hop Ghana, Sarkodie. Boniphace Ngumije UWEZO ndiyo kigezo kikubwa kilichompa heshima Sarkodie kwenye medani ya muziki wa Hip Hop Afrika ambapo tofauti na kujinyakulia tuzo 42 na kuingia katika kinyang’anyiro mara 52, amekuwa akiandikwa katika chati mbalimbali za burudani zikiwemo MTV, The Guardian, BET na E-TV ya Ghana kuwa miongoni mwa wasanii watano wakali wenye heshima ya muda wote barani Afrika. Katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani