KITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI, MKURUGENZI WA JIJI AFUNGUKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0qL8nwof18A/XsTisfJnQeI/AAAAAAALq5I/CiHAhH1W0yQKQVE0gHGuIKWKd4WZ6UEAgCLcBGAsYHQ/s72-c/06dfe0c0-1a6c-49d4-a23d-654a7710382c.jpg)
Charles James, Michuzi TV
JIJI la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi katika mkutano wake na wandishi wa habari wakati alipotembelea Ujenzi wa Kituo hicho kinachojengwa katika eneo la Nzuguni.
Kunambi amesema ujenzi wa Kituo hiko ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote kwa ukanda wa Afrika Mashariki tayari umekamilika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MTmIfFrCtiU/VhYeQWPYbRI/AAAAAAAH9jk/rdXrJiowl5c/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m84sjG2c54I/VhYeQYkAZPI/AAAAAAAH9js/bGqDrIigL4Q/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ukata wakwamisha ujenzi kituo kikuu cha mabasi Dar
UKATA wa fedha unadaiwa kukwamisha ujenzi wa kituo kikuu kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi, katika eneo la Mbezi Louis wilayani Kinondoni. Kutokana na ukata huo, Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo (UBT) kimeendelea kutoa huduma eneo la Ubungo, licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuamuriwa mwaka jana, ihakikishe kinahamia ama Mbezi Louis au Boko Wasa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qPqVjC2PQnI/VFyub2sYg0I/AAAAAAAGv9k/_g3OhrUzWak/s72-c/MMGM0007.jpg)
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuzinduliwa kesho jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-qPqVjC2PQnI/VFyub2sYg0I/AAAAAAAGv9k/_g3OhrUzWak/s1600/MMGM0007.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Jul
Kituo cha mabasi Dodoma kuwa nje ya mji
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli ameagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) kuhamishia kituo kikuu cha mabasi cha Dodoma nje ya mji, ili kudhibiti msongamano wa magari unaochangiwa na kukua kwa haraka kwa mji.
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKviiitYxKsXOKyvoO6xWIQn-IxMdSestBvRQU7LuJRl15xmFBVaDSj0FudrqXzqGquEynFZHWRHxlgtFosRWeE/IMG20150512WA0002.jpg)
KUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
10 years ago
VijimamboTransfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto
![](http://3.bp.blogspot.com/-kE91SlGXns0/VLkDLPvTDSI/AAAAAAAG9zc/EPpxlsoj2l4/s640/IMG-20150116-WA0002.jpg)