Kituo cha kisasa cha michezo kwa vijana cha JMK cha Kidongo Chekundu kuzinduliwa Oktoba 19, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-UcGz_zjQP9Y/VhYeQntzAUI/AAAAAAAH9jo/EXKLw5CrnSE/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Sehemu ya viwanja vya mpira wa kikapu katika kituo cha kisasa kabisa cha Michezo kwa vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam vimekamilika, saambmba na viwanja vya soka na michezo mingine. Kituo hiki cha Vijana cha Michezo mbalimbali kinachodhaminiwa na Klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza cha Sunderland kwa kushirikiana na kampuni ya umeme ya Symbion Power kinatarjiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 19 Oktoba mwaka huu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8SDyrwpw2PA/Vh7Bn_DHe1I/AAAAAAAH_8g/RrvsL2mEJo8/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Taswira za Kituo cha michezo kwa vijana cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMK Youth Sports Centre) Kidongo Chekundu, Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-8SDyrwpw2PA/Vh7Bn_DHe1I/AAAAAAAH_8g/RrvsL2mEJo8/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YqO7sGb_-zk/VfliPYccmBI/AAAAAAAH5Wg/WyGJrkGKHuo/s72-c/u1.jpg)
JK AKAGUA MAENDELEO YA KITUO CHA MICHEZO KWA VIJANA CHA KIDONGO CHEKUNDU DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-YqO7sGb_-zk/VfliPYccmBI/AAAAAAAH5Wg/WyGJrkGKHuo/s640/u1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qTHaopTCvsk/VfliPPPck5I/AAAAAAAH5Wc/qpHrl9KPMSQ/s640/u2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eNjUO2GA71M/VfliQ0wXzvI/AAAAAAAH5W4/wRHSYxFIL2A/s640/u5.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gTBMKdYzMxc/VfpAcqy-5gI/AAAAAAAD7q0/w70JrfxAWdY/s72-c/u1.jpg)
RAIS KIKWETE AKAGUA MAENDELEO YA KITUO CHA MICHEZO KWA VIJANA CHA KIDONGO CHEKUNDU DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-gTBMKdYzMxc/VfpAcqy-5gI/AAAAAAAD7q0/w70JrfxAWdY/s640/u1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t_2HNPLAh9Q/VfpAcmC-aCI/AAAAAAAD7q8/-gk1Zwh1GPc/s640/u3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t6JtJ2JVO_I/VfpAettA4UI/AAAAAAAD7rM/8FTzbO7uKZQ/s640/u4.jpg)
9 years ago
VijimamboRais Kikwete kuzindua Kituo Cha Michezo Kidongo Chekundu
Rais Kikwete anatarajia kuzindua Kituo Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam, kituo cha kwanza cha aina yake nchini chenye kulenga miongoni mwa mambo mengi kuanza kulea wanamichezo tokea wakiwa wadogo.
Hayo yalijitokeza wakati wa mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Umeme ya Symbion Power, Bwana Paul Hinks(pichani) kwenye Hoteli ya JW Marriot Essex House, mjini New York, Marekani ambako Rais alikuwa...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA KITUO CHA MICHEZO KIDONGO CHEKUNDU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s72-c/k1.jpg)
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s640/k1.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Rais Kikwete kufungua kituo cha kisasa cha michezo
Rais Jakaya  Kikwete anatarajiwa kuzindua kituo kipya na cha kisasa cha mizecho baadaye mwezi huu kitakachoitwa Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam.Â
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FcKyNSVFo0/Xo2RUjz0N1I/AAAAAAALmeE/gz10wRbmC149X-FxtSDyny57GkcXk7AaQCLcBGAsYHQ/s72-c/3d72aa4b-0994-479d-b87b-c6f0ead19cf6.jpg)
KUSINI YAPATA KITUO CHA KISASA CHA MICHEZO
KAMPUNI ya Juvenile Sport Academy imeanza ujenzi wa kituo cha kisasa cha michezo katika Kanda ya Kusini ili kukuza vipaji vya michezo mbalimbali ukiwemo wa mpira wa miguu na riadha nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Lindi, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Ally Kamtande, amesema kituo hicho kinajengwa katika shule ya Sekondari Nyangao iliyopo mkoani Lindi.
Amesema kwa sasa tayari wameshaanza kuboresha uwanja wa mpira wa miguu kwa kuweka nyasi bandia kwenye eneo la kuchezea huku lengo...
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Lindi, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Ally Kamtande, amesema kituo hicho kinajengwa katika shule ya Sekondari Nyangao iliyopo mkoani Lindi.
Amesema kwa sasa tayari wameshaanza kuboresha uwanja wa mpira wa miguu kwa kuweka nyasi bandia kwenye eneo la kuchezea huku lengo...
10 years ago
VijimamboKITUO CHA HABARI CHA UMOJA WA MATAIFA WASHIRIKI ALHAMISI YA BURUDANI NA KIKUNDI CHA MTANDAO WA VIJANA TEMEKE
Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa jana iliandaa Alhamisi ya Burudani kwa ajili ya kujifunza kazi mbalimbali za Umoja wa Mataifa. Kwa kila Alhamis ya mwisho wa mwezi Kituo cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania