Mnyika: Rais atekeleze agizo lawananchi wa Ubungo
Mbunge wa jimbo la Ubungo, John Mnyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi ya kuwapatiwa wananchi wake huduma ya maji aliyoitoa mwaka mmoja uliopita.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Mnyika:Rais atekeleze agizo lake kwa wananchi wa Ubungo
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Mnyika: JK atekeleze ahadi zake
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA) amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuhakikisha anatimiza ahadi anazozitoa mbele ya wananchi, ikiwemo kuonana na mbunge huyo ili kushughulikia matatizo ya maji yanayolikumba jimbo la...
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Mnyika awafunda wanawake Ubungo
NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mnyika ‘amvaa’ Kikwete kilio cha maji Ubungo
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
MichuziHIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Azam FC watekeleza agizo la Rais
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.
Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
CAG akiuka agizo la Rais Magufuli
*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu
Na Masyaga Matinyi
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.
Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.
Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...
9 years ago
MichuziNHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI