Azam FC watekeleza agizo la Rais
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.
Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
MichuziNHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0080.jpg)
DAWASA WATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA COVID_19
Ofisi zote za Mamlaka zimeandaa masinki katika milango mikuu ya kuingia katika Majengo yake ili kuwezesha Watumishi na wageni wote kupata huduma kunawa mikono kwa majisafi na sabuni kabla ya kuingia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0080.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ktKK0LxzF0Q/XnDjEbAQm3I/AAAAAAABMwo/J8xFsXrJ7v40Aq-XvU8wF3J5ZQJ3syn_QCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eke01XlcuG0/XnDjF8ttCGI/AAAAAAABMw0/WGwzZI2hvc4MVtCxQ_fZnM45wHaTmq7hgCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0094.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R4dY954Y_XA/XnDjCnqPnAI/AAAAAAABMwU/pGJH5sEOzN4plFbE2ds_Kj8LY9lq07WwQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0088.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CAOa3hxmPe8/XnDjEe0SOgI/AAAAAAABMwk/v7eSn0fSWM0sppCzDQOgeWoW4dZsYzDjACNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0091.jpg)
9 years ago
MichuziHIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS JK
10 years ago
Habarileo18 May
RC Dar atekeleza agizo la Rais Kikwete
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki kwa kushirikiana na uongozi wa Manispaa ya Kinondoni, ameanza kutekeleza agizo lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete la kuondoa maji katika makazi ya watu kwenye maeneo mbalimbali ya Manispaa hiyo yaliyosababishwa na mvua zilizokuwa zikinyesha jijini hivi karibuni.
9 years ago
Mtanzania18 Dec
CAG akiuka agizo la Rais Magufuli
*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu
Na Masyaga Matinyi
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.
Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.
Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Mambo ya nje kutekeleza agizo la Rais ‘kijeshi’
10 years ago
Habarileo22 Apr
JKT yasubiri agizo la Rais kujenga Mwakata
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesema linasubiri maelekezo ya maandishi ili kuanza kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la kuwajengea nyumba 403 mpya waathirika waliobomolewa nyumba zao na mvua kubwa ya mawe na upepo mkali, iliyonyesha katika vijiji vitatu wilayani Kahama.