RC Dar atekeleza agizo la Rais Kikwete
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki kwa kushirikiana na uongozi wa Manispaa ya Kinondoni, ameanza kutekeleza agizo lililotolewa na Rais Jakaya Kikwete la kuondoa maji katika makazi ya watu kwenye maeneo mbalimbali ya Manispaa hiyo yaliyosababishwa na mvua zilizokuwa zikinyesha jijini hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
CAG atekeleza agizo la Zitto
9 years ago
Vijimambo07 Sep
NHIF YATEKELEZA AGIZO LA RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/138.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/419.jpg)
![6](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/614.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/228.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f5IYI7QnABk/Vh7G-B49w4I/AAAAAAAH_9A/BdqOuyzkfXE/s72-c/22.jpg)
SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-f5IYI7QnABk/Vh7G-B49w4I/AAAAAAAH_9A/BdqOuyzkfXE/s640/22.jpg)
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...
5 years ago
CCM Blog16 Feb
RAIS WA SUDAN KUSINI ATEKELEZA TAKWA LA UPINZANI, APUNGUZA IDADI YA MAJIMBO
![Rais wa Sudan Kusini atekeleza takwa la upinzani, apunguza idadi ya majimbo](https://media.parstoday.com/image/4bsof1e02e4df41k1yw_800C450.jpg)
5 years ago
MichuziRAIS JPM ATEKELEZA AHADI YA KUJENGA DARAJA LA MTO SIBITI MKOANI SINGIDA ALILOAHIDI MWAKA 2015
Na Jumbe Ismailly- MKALAMA
WANANCHI wa Kata ya Msingi,pamoja na vijiji vinavyozunguka kata hiyo wilayani Mkalama,Mkoani Singida wataondokana na adha ya kutokwenda kwenye huduma za afya,elimu pamoja na kusafiri kwenda kwenye masoko ya mazao wanayozalisha mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja la mto Msingi.
Ujenzi wa daraja hilo ulioanza kujengwa juni,11,mwaka jana kwa mkataba wa miezi 24 ni utekelezaji wa ahadi aliyotoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Magufuli...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Rais Kikwete akutana na mjumbe wa Rais wa Burundi Ikulu jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, alipofika na ujumbe wake kuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar es salaam April 29, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Sheikh Mohamed Rukara, ujumbe maalum wa Rais wa Burundi Mhe Pierre Nkurunzinza, aliyeuwasilisha ujumbe huo Ikulu jijini Dar.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Sheikh Mohamed Rukara, Mjumbe maalum wa Rais wa...
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Rais Kikwete akutana na Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kisha kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam jana April 28, 2015. Rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiliwa na taasisi za Clinton Development Initiative (CDI) na Clinton Health Access Initiative (CHAI).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumanne, Aprili 28, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo ya...