Rais Kikwete afanya Mazungumzo na Rais Kabila wa DRC Dar es Salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana, kufanya mazungumzo ya faragha na kisha kuagana na Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC wakati Rais huyo aliposimama kwa muda katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam leo mchana na kisha kurejea Kongo.(picha na Freddy Maro)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS KABILA WA DRC JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

10 years ago
MichuziRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es salaam
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Ikulu Dar es Salam
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China,pia afanya mazungumzo na Lord Mandelson
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog16 May
Rais Jakaya Kikwete afanya mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga( ICAO) Ikulu Jijini Dar
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin Ikulu jijini Dar es Salaam, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Kikwete akiongea na Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin, wakati alipofika Ikulu jijini Dar es Salaam leo, Katibu huyo yupo nchini kwa ziara ya Kikazi kuanzia Mei 14 hadi 18 Mei 2014.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha...
5 years ago
CCM Blog
RAIS DK MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA KINA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD,PROF LIPUMBA NA MBATIA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli amefanya mazungumzo na...
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
