Rais Kikwete akutana na Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kisha kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam jana April 28, 2015. Rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiliwa na taasisi za Clinton Development Initiative (CDI) na Clinton Health Access Initiative (CHAI).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumanne, Aprili 28, 2015, amekutana na kufanya mazungumzo ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3NpjmwA*I6Uj1fHhr*khwyEESg0ZbAx0hEQqRHPG21T330M6TeXT3x6TCzdUXqQG7ABssrkzLlR17a8WiP74ZsK/c1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi28 Apr
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 28, 2015.
![01](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/0115.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/256.jpg)
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s1600/mi%2B(1).jpg?width=600)
WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s72-c/mi%2B(1).jpg)
WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s1600/mi%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Rais Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani, jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s72-c/unnamed.jpg)
RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani,jijini Nairobi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fIDaZ43XkK0/VAd2lkYMifI/AAAAAAACp90/77TZZGS0Rno/s1600/unnamed.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack Obama,Mama Sarah Obama walipokutana Leo kwenye hoteli ya Villa Rosa Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s72-c/m2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMVqlkuLQ2A/U-MtMV_-8sI/AAAAAAAF9r8/UjTZ7prWzgI/s1600/m2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...