NHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akiongoza kwa vitendo zoezi la kufanya usafi katika majengo ya NHC na maeneo yanayozunguka barabara za Ali Hassan Mwinyi, Alikhan, Barak Obama na Magore UPANGA jijini Dar es Salaam leo. Menejimenti ya NHC imeamua kuwa kufanya usafi kwenye majengo ya Shirika ili kuonyesha kwa vitendo utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli wa kuitumia Sikukuu ya Uhuru na Jamhuri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Azam FC watekeleza agizo la Rais
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.
Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0080.jpg)
DAWASA WATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA COVID_19
Ofisi zote za Mamlaka zimeandaa masinki katika milango mikuu ya kuingia katika Majengo yake ili kuwezesha Watumishi na wageni wote kupata huduma kunawa mikono kwa majisafi na sabuni kabla ya kuingia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0080.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ktKK0LxzF0Q/XnDjEbAQm3I/AAAAAAABMwo/J8xFsXrJ7v40Aq-XvU8wF3J5ZQJ3syn_QCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eke01XlcuG0/XnDjF8ttCGI/AAAAAAABMw0/WGwzZI2hvc4MVtCxQ_fZnM45wHaTmq7hgCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0094.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R4dY954Y_XA/XnDjCnqPnAI/AAAAAAABMwU/pGJH5sEOzN4plFbE2ds_Kj8LY9lq07WwQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0088.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CAOa3hxmPe8/XnDjEe0SOgI/AAAAAAABMwk/v7eSn0fSWM0sppCzDQOgeWoW4dZsYzDjACNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0091.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Dec
CAG akiuka agizo la Rais Magufuli
*Adaiwa kutumia Sh milioni 15 kwa siku tatu
Na Masyaga Matinyi
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Juma Assad, amekiuka agizo la Rais Dk. John Magufuli, baada kusafiri nje ya nchi bila kibali cha Ikulu.
Vyanzo vya habari kutoka ofisini kwake, vimedai kuwa CAG aliondoka nchini Jumamosi (Desemba 12, 2015) kwenda jijini Nairobi, Kenya na kurejea nchini Jumanne wiki hii.
Taarifa hizo, zimesema CAG alikwenda kutoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Nairobi, kazi ambayo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha)
Rais John Pombe Magufuli aliagiza December 9 2015 iwe siku ya usafi nchi nzima, na agizo likatekelezwa kama ilivyoagizwa. Lakini viongozi wa ngazi mbalimbali wengine walijipangia kwamba kila baada ya muda fulani ufanyike usafi kwenye maeneo mbalimbali… mmoja wa walioagiza hivyo ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Thabit Mwambungu nae aliagiza kwamba usafi ufanyike mara […]
The post Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio)
Stori ya aina yake ilitoka Tanzania December 09 2015, sherehe ya uhuru ikaadhimishwa kwa kufanywa usafi kila kona.. lilikuwa agizo la Rais Magufuli na yeye pamoja na viongozi wote wa juu wa Serikali walishiriki kwa 100% kuhakikisha agizo linatekelezwa. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma akajiongeza hatua moja mbele, akasema usafi ni kila Jumamosi ya mwisho […]
The post Songea hawana utani na agizo la usafi wa Rais Magufuli.. ukichafua mji wao hawakuachii !!.. (+Audio) appeared first on...
9 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015
Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...