DAWASA WATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA COVID_19
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0080.jpg)
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Sslaam na Pwani (DAWASA) imeendelea kutekeleza agizo la Serikali la kuhimiza unawaji mikono kwa sabuni.
Ofisi zote za Mamlaka zimeandaa masinki katika milango mikuu ya kuingia katika Majengo yake ili kuwezesha Watumishi na wageni wote kupata huduma kunawa mikono kwa majisafi na sabuni kabla ya kuingia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Korogwe watekeleza agizo la Rais
MKUU wa Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Mrisho Gambo, amesema wilaya yake imetekeleza agizo la Rais la ujenzi wa maabara kwa asilimia 65. Gambo aliyasema hayo hivi karibuni katika ya...
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Azam FC watekeleza agizo la Rais
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TIMU ya Azam FC jana ilitekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli la kufanya usafi wakati wa maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa Tanganyika.
Katika kutekeleza agizo hilo, Azam saa 12.30 asubuhi ilitembelea Zahanati ya Chamazi na kufanya usafi kwa muda wa takribani saa mbili na nusu.
Wachezaji wa Azam kwa kushirikiana na wafanyakazi na viongozi walishiriki zoezi hilo, ambapo watu mbalimbali wanaoishi maeneo ya karibu na...
9 years ago
MichuziNHC WATEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKnyDJPhpJo/Xp7-5SLOMUI/AAAAAAALnuU/JZppuSorC64zGNQ-M6CjmBxMieJbRgGEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0045.jpg)
DAWASA YAHAKIKISHA USALAMA KWA WAFANYAKAZI WAKE KUJIKINGA NA COVID-19
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa kituo cha mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege jijini Dar Es Salaam watekeleza agizo la Rais kwa kufanya usafi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mafuta cha Puma cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Brown Francis akishiriki kufanya usafi katika kituo hicho ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dk.John Magufuli kuwa maadhimisho ya Siku ya Uhuru 2015 yatumike kwa kufanya usafi nchini kote.
Meneja wa Kituo hicho, Shadrack Mwamaso naye akishiriki kufanya usafi.
Hapa usafi ukiendelea.
Hapa ni kazi usafi ukifanyika.
Ni kama anaongea ‘Ngoja nikazitupe taka taka hizi eneo...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Jinsi ya kujikinga na maambukizi ya ebola
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA TTB WAPATA MAFUNZO YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA NA UKIMWI