DAWASA YAHAKIKISHA USALAMA KWA WAFANYAKAZI WAKE KUJIKINGA NA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKnyDJPhpJo/Xp7-5SLOMUI/AAAAAAALnuU/JZppuSorC64zGNQ-M6CjmBxMieJbRgGEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0045.jpg)
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani DAWASA wamechukua tahadhari kwa wafanyakazi dhidi ya Maambukizi ya homa ya Mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona.
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6ATbl8yJSuw/U8UAApObM7I/AAAAAAAF2TA/fS-1KQFAXjc/s72-c/unnamed..jpg)
Vodacom yazidi kujikita kulinda Usalama wa wafanyakazi wake
Vodacom ambao ni washindi wa tuzo ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi inayotambuliwa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) imezindua kampeni hiyo ikiwa ni mwendelezo wa jitihada mbalimbali inazozichukua katika kuhakikisha usalama wa wafanyakazi wake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200317-WA0080.jpg)
DAWASA WATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA COVID_19
Ofisi zote za Mamlaka zimeandaa masinki katika milango mikuu ya kuingia katika Majengo yake ili kuwezesha Watumishi na wageni wote kupata huduma kunawa mikono kwa majisafi na sabuni kabla ya kuingia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Pmz3CMzWOY/XnDjC8ewaZI/AAAAAAABMwY/T1fgQT-REM4TQ5Z2rrJUxZnZ2rn65DkBQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0080.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ktKK0LxzF0Q/XnDjEbAQm3I/AAAAAAABMwo/J8xFsXrJ7v40Aq-XvU8wF3J5ZQJ3syn_QCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0090.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Eke01XlcuG0/XnDjF8ttCGI/AAAAAAABMw0/WGwzZI2hvc4MVtCxQ_fZnM45wHaTmq7hgCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0094.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-R4dY954Y_XA/XnDjCnqPnAI/AAAAAAABMwU/pGJH5sEOzN4plFbE2ds_Kj8LY9lq07WwQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0088.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CAOa3hxmPe8/XnDjEe0SOgI/AAAAAAABMwk/v7eSn0fSWM0sppCzDQOgeWoW4dZsYzDjACNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200317-WA0091.jpg)
5 years ago
MichuziSerikali Imewataka wanaouza Bidhaa za Kujikinga dhidi ya Covid-19, Kuuza kwa Bei iliyoko Sokoni
======== ======== =======
Serikali kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s72-c/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
MBUNGE MAVUNDE AGAWA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 KWA SHULE ZOTE ZA SEKONDARI JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YxdEdNdiwyk/XtTwHa5Np1I/AAAAAAALsNU/uQbZKNlTeRg1STYEpA1wRYfXJ1FXI4-dgCLcBGAsYHQ/s640/15daca47-aa51-48ee-ad76-fbf4b11998ef.jpg)
Mavunde amekabidhi leo vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 2,000,000 kwa wakuu wa Shule za Sekondari katika eneo la Jiji ya Dodoma ikiwa ni siku ya kwanza kwa wanafunzi wa kidato cha sita kurejea tena shuleni baada ya agizo la Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kuhusu kufunguliwa tena kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ue9ZqnS_EKs/XrT6gBvxcSI/AAAAAAALpcM/SG2KyGAg7x0IZ13LzvI9CXAC1I6oZY5RQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WORLD VISION YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA COVID-19 VYA MILIONI 17 KWA MKOA WA TABORA
SHIRIKA la World Vision Tanzania limekabidhi vifaa vya thamani ya shilingi milioni 17.1 vya kudhibiti virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa homa kali ya mapafu ya Covid -19 kwa Mkoa wa Tabora
Msaada huo umekabidhiwa jana mjini Nzega na Meneja wa Kanda wa Shirika World Vision John Masenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri.
Alitaja msaada huo unajumuisha glovu boksi 990, magauni ya wahudumu wa afya ya kuwafaa wakati wa kuwahudumia wagonjwa 80 , lita 290 ya...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) CHATOA MAELEKEZO KWA WANACHAMA WAKE KUJIKINGA NA CORONA
Kwa sisi madaktari na wahudumu wa afya ya kinywa na meno tujikumbushe yafuatayo:
1. Kama ilivyo ada tuendelee kutumia vikinga maaambukizo kama mask, gloves, mawani, nk wakati tunahudumia wagonjwa...
10 years ago
VijimamboUBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
PSPF washiriki katika maadhimisho ya siku ya usalama na afya duniani kwa wafanyakazi viwanja vya Mnazi Mmoja Dar
Ofisa muendeshaji wa Mfuko wa Pesheni wa Mashirika ya Umma (PSPF), Bw. Hadji Jamadary (kushoto) akimwelekeza kujaza fomu Shabani Maganga wakati wa maaadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Ofisa muendeshaji wa PSPF, Hadji Jamadary (kushoto) akiwapatia maelezo ya jinsi ya kujiunga na PSPF wakati wa mahadhimisho ya siku ya usalama na afya kazini yaliyofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.
Afisa Muendeshaji wa Mfuko wa...