Vodacom yazidi kujikita kulinda Usalama wa wafanyakazi wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-6ATbl8yJSuw/U8UAApObM7I/AAAAAAAF2TA/fS-1KQFAXjc/s72-c/unnamed..jpg)
Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha wafanyakazi wake kuhakikisha uendeshaji wa magari na vyombo vingine vya moto unaozingatia usalama ili kulinda afya na usalama wao wawapo barabarani.
Vodacom ambao ni washindi wa tuzo ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi inayotambuliwa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) imezindua kampeni hiyo ikiwa ni mwendelezo wa jitihada mbalimbali inazozichukua katika kuhakikisha usalama wa wafanyakazi wake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKnyDJPhpJo/Xp7-5SLOMUI/AAAAAAALnuU/JZppuSorC64zGNQ-M6CjmBxMieJbRgGEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0045.jpg)
DAWASA YAHAKIKISHA USALAMA KWA WAFANYAKAZI WAKE KUJIKINGA NA COVID-19
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha aikabidhi ngao Vodacom Tanzania kwa kutambua mchango wake kuhakikisha usalama barabarani
![](http://4.bp.blogspot.com/-WCLHD8AsVpE/VCA3o5Fq3wI/AAAAAAAGlGE/SbENPQLjU9U/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-L8JOXxzWAv0/VCA3o2DS1WI/AAAAAAAGlF8/h6FRf18AnFI/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GKIcKhusLMs/VUCUtnWsH3I/AAAAAAAHT9k/9vYNpEgPnKE/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom kujikita zaidi kuboresha huduma za mawasiliano vijijini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6YsHWC6JXhIcpXbrbkeUR9MRh2iNx96vtLJQ*X3CJkOCA65ue-VaidLqZmNjMo-C9wUJc8ysfJ3CLp3D2EJDlF/006.MKATABA.jpg?width=650)
VODACOM KUJIKITA ZAIDI KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO VIJIJINI
10 years ago
Habarileo08 Dec
CCM yaagiza madiwani wake kujikita serikali za mitaa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani wake wote kushiriki kikamilifu katika kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa huku kikitishia kuwafukuza uanachama endapo watakiuka agizo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s72-c/001.POLISI.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI ASHUHUDIA KUSAINIWA KWA MAKUBALIANO YA MWENDELEZO WA KAMPENI ZA USALAMA BARABARANI BAINA YA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA,JESHI LA POLISI NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6orj1uudoVA/VMOnw9ArylI/AAAAAAAG_VM/4cxNZahshv4/s1600/001.POLISI.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Jun
Mpango wa kulinda usalama wa maji waja
SERIKALI inaandaa mpango utakaoweka utaratibu wa usafi na usalama wa maji kuanzia kwenye chanzo hadi kwa mtumiaji, hatua ambayo itamfanya mwananchi kunywa maji ya bomba moja kwa moja bila kuchemsha.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Polisi yafurahia vifaa vya kulinda usalama
JESHI la polisi mkoani Mbeya limeipongeza serikali kwa kuliwezesha kupata vifaa vipya na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani siku ya uchaguzi mkuu unaofanyika kesho.
9 years ago
Habarileo23 Aug
‘Sheria ya mtandao ipo kulinda usalama na amani’
WAKATI Sheria ya Makosa ya Mtandao ikitarajiwa kuanza kutumika Septemba Mosi, mwaka huu, Watanzania wametakiwa kutambua kuwa serikali haina nia ya kuwahamishia wananchi gerezani bali ni kwa ajili ya usalama wa nchi.