Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yafurahia vifaa vya kulinda usalama

JESHI la polisi mkoani Mbeya limeipongeza serikali kwa kuliwezesha kupata vifaa vipya na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani siku ya uchaguzi mkuu unaofanyika kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Ykileo

NAMNA BORA YA KULINDA VIFAA VYA TEHAMA VYA WATOTO



KWA UFUPI: Kutokana na ukuaji wa teknolojia pamoja na muunganiko wa vitu vingi katika mtandao (IoT) vifaa vingi vya watoto vimekua mhanga mkubwa wa uhalifu mtandao – Hii imepelekea kuchukuliwa kwa hutua mbali mbali za kulinda watoto mitandaoni. Andiko hili lina angazia namna bora ya kulinda vifaa vya watoto vya TEHAMA.

-----------------------------------------


Kumekua na matukio kadhaa yaliyo husisha kuingiliwa kimtandao (kudukuliwa) kwa vifaa vinavyo tumiwa na watoto huku wahalifu mtandao...

 

10 years ago

Vijimambo

NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO

Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...

 

9 years ago

Michuzi

KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATOA VIFAA VIPYA VYA KUPIMA MWENDO KASI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii KIKOSI cha Usalama barabarani  kimetoa vifaa vipya  vya kisasa vya kupima mwendo wa magari.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa katika vyombo vya habari leo na Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Uslama Barabarani,Mohamed Mpinga,anadai vifaa  vinauwezo wa kurekodi mwendo wa gari na wakati huo huo kuchukua picha ya mnato au video ya gari husika. 
Aidha taarifa hiyo ilidai  kuwa ili  kuongeza ufanisi wa vifaa hivi wameelekeza askari wanaoshika vifaa hivyo wasivae sare...

 

5 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI MKOA WA IRINGA AMEPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA COVID 19 KUTOKA KAMPUNI YA AGORA WOOD PRODUCT



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidi wa Polisi (ACP), Juma Bwire kulia(kulia) akipokea vifaa vya kujikinga dhidi ya Virusi ya Covid 19 kutoka Kampuni ya Agora Wood Product vyenye thamani Tsh Milioni 6. 5 kuwasaidia askari Polisi kujilinda afya zao. (Picha na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi)

 

10 years ago

Vijimambo

UBALOZI WA UINGEREZA WAKABIDHI VIFAA VYA USALAMA NA KUTOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA)

Acting High Commissioner, Ms Penny Smith hands over aviation security equipment to Director General of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Mr. Charles ChachaActing High Commissioner, Ms. Penny Smith hands over a certificate to one of the participant of the training course.Acting High Commissioner, Ms Penny Smith giving her keynote address during closing of training course and handling of aviation security equipments along side are Vicky Hutchinson (RASLO) and TCAA Director General, Mr...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa vifaa vya milipuko

>Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kukamatwa na waumini kwenye nyumba za ibada wakiwa na zana za kutengenezea milipuko pamoja na silaha za jadi.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi warudisha vifaa vya Mansour

Jeshi la Polisi Zanzibar, limerudisha kompyuta mpakato ya waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yusuph Himid pamoja na vifaa vyake vya mawasiliano.

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la polisi lapokea vifaa vya kiusalama

Jeshi la Polisi Nchini limetakiwa kulinda na kuhakikisha amani inakuwepo katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete  ameyasema hayo, wakati akikabidhi magari mia tatu kwa Polisi nchini.

 Katika Makabidhiano hayo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, ERNEST MANGU, Rais Kikwete amekabidhi magari mia tatu kati ya mia saba sabini na saba yanayotarajiwa kuimarisha ulinzi na shughuli mbalimbali za Polisi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani