Polisi warudisha vifaa vya Mansour
Jeshi la Polisi Zanzibar, limerudisha kompyuta mpakato ya waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yusuph Himid pamoja na vifaa vyake vya mawasiliano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-efQt6JWr5No/XqwD-VEzJnI/AAAAAAALows/L7-jnhGj2oY42_qNh6-RnShvVjO1MBTGACLcBGAsYHQ/s72-c/88f24eed-2c7c-403e-9140-17c3a56d7062.jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA IRINGA AMEPOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA COVID 19 KUTOKA KAMPUNI YA AGORA WOOD PRODUCT
![](https://1.bp.blogspot.com/-efQt6JWr5No/XqwD-VEzJnI/AAAAAAALows/L7-jnhGj2oY42_qNh6-RnShvVjO1MBTGACLcBGAsYHQ/s640/88f24eed-2c7c-403e-9140-17c3a56d7062.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b26e755a-61f6-4ce8-a5c0-cc3032d6fd3d.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Kamishna Msaidi wa Polisi (ACP), Juma Bwire kulia(kulia) akipokea vifaa vya kujikinga dhidi ya Virusi ya Covid 19 kutoka Kampuni ya Agora Wood Product vyenye thamani Tsh Milioni 6. 5 kuwasaidia askari Polisi kujilinda afya zao. (Picha na Datus Mahendeka wa Jeshi la Polisi)
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Polisi wanasa vifaa vya milipuko
9 years ago
StarTV21 Oct
Jeshi la polisi lapokea vifaa vya kiusalama
Jeshi la Polisi Nchini limetakiwa kulinda na kuhakikisha amani inakuwepo katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameyasema hayo, wakati akikabidhi magari mia tatu kwa Polisi nchini.
Katika Makabidhiano hayo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, ERNEST MANGU, Rais Kikwete amekabidhi magari mia tatu kati ya mia saba sabini na saba yanayotarajiwa kuimarisha ulinzi na shughuli mbalimbali za Polisi nchini.
9 years ago
Habarileo24 Oct
Polisi yafurahia vifaa vya kulinda usalama
JESHI la polisi mkoani Mbeya limeipongeza serikali kwa kuliwezesha kupata vifaa vipya na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na aina yoyote ya uvunjifu wa amani siku ya uchaguzi mkuu unaofanyika kesho.
10 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA POLISI
Mkuu wa Kitengo cha Wateja binafsi wa benki ya NMB, Bw.Abdulmajid Nsekela( katikati) akimkabidhi vifaa vya Michezo Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Mary Nzuki kwa ajili ya Timu za Polisi ambazo ni Kombaini ya Polisi itakayoshiriki Michezo ya majeshi kwa nchi za kusini mwa Afrika nchini Swaziland pamoja na timu za mpira wa miguu za Polisi Dar es Salaam na Polisi Morogoro.Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Michezo Mrakibu mwanadamizi wa Polisi (SSP) Jonas Mahanga(Picha na Frank Geofray-Jeshi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uL91fYcZAkU/XsPkqHtnw_I/AAAAAAALqyg/EISGJwoNKDcB1rIhKiu3WVLHdRdfnouRgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200519-WA0028.jpg)
URA SACCOS YATOA MSAADA VIFAA VYA KITABIBU KWA JESSHI LA POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uL91fYcZAkU/XsPkqHtnw_I/AAAAAAALqyg/EISGJwoNKDcB1rIhKiu3WVLHdRdfnouRgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200519-WA0028.jpg)
Mkuu wa kitengo cha rasilimaliwatu Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Anthony Rutashuburugukwa, akikata utepe kuashiria kupokea vifaa vya kitabibu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 170 kutoka Ushirika wa Kuweka na Kukopa Fedha wa Usalama wa Raia (URA SACCOS), kulia kwake ni mwakilishi wa bodi ya URA SACCOS, Stanford Busumbiro na kushoto kwake ni Kamanda wa Kikosi cha Afya, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Hussein Yahaya. (Picha na Jeshi la Polisi)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RxDMVNMwA10/XsPkqenm-xI/AAAAAAALqyo/w_9ktw0uGR0-JUsx0Z55WGQrEOfKrNv_wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200519-WA0029.jpg)
Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iXIFPGTlxU0/XsFEicSzciI/AAAAAAALqk0/z1A3Tm2uzp4AmFpazgGAWCJ5xJCxm0kJQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SHIA ITHNA ASHERIA MWANZA WAKABIDHI VIFAA KINGA VYA CORONA JESHI LA POLISI
NA BALTAZAR MASHAKA, Mwanza
WAUMINI wa madhehebu ya Khoja Shia Ithna Asheria, jijini Mwanza wamejitosa kwenye mapambano ya vita dhidi ya Homa kali ya Mapafu inayosababishwa na Kirusi cha Corona (Covid-19) kwa kutoa msaada wa vifaa kinga vya ugonjwa huo kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza.
Vifaa kinga hivyo barakoa 300, vitakasa mikono 500 na chupa 500 za sanitizer vilikabidhiwa juzi kwa Ofisa Mnadhimu wa jeshi hilo mkoani humu, Safia Jongo kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza...
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...