CHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) CHATOA MAELEKEZO KWA WANACHAMA WAKE KUJIKINGA NA CORONA
Ndugu Wanachama na watoa huduma wa Afya ya Kinywa na Meno. Hapa kwetu Tanzania kama ilivyo nchi zingine za Africa mashariki virusi hivi bado havijaingia ...Hata hivyo lazima tukumbuke kuwa, Dunia ya leo ni kijiji...Hivyo lazima tujipange na kujihadhari kwa maambukizi ya COVID-19 na kusambaa kwake.
Kwa sisi madaktari na wahudumu wa afya ya kinywa na meno tujikumbushe yafuatayo:
1. Kama ilivyo ada tuendelee kutumia vikinga maaambukizo kama mask, gloves, mawani, nk wakati tunahudumia wagonjwa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Sm6A1n-dOnA/XltEOduRv_I/AAAAAAAAm48/WMgXvrj98R4N0m2b8W_c8RVloBISCUZ0wCLcBGAsYHQ/s72-c/2e793cde-43a9-4082-87e9-6071b9d4378d.jpg)
CHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) YATIA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA (MoU)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sm6A1n-dOnA/XltEOduRv_I/AAAAAAAAm48/WMgXvrj98R4N0m2b8W_c8RVloBISCUZ0wCLcBGAsYHQ/s640/2e793cde-43a9-4082-87e9-6071b9d4378d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7FfuwRYfV7M/XltEOjpcj_I/AAAAAAAAm5A/KXZe4Jl7zAYuaKG378T4h3lqMxyrhO1EwCLcBGAsYHQ/s640/9fd08f60-b4f1-46ac-bf3b-d2af41992007.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iSq20yJjvbg/XltEOq0Pa6I/AAAAAAAAm44/jgBNiUcuxG4H7kpiXoF0nULRB1IQdm5yACLcBGAsYHQ/s640/2302f5fe-f41d-45bf-a92e-f73d85291fb8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xfJFenFefTw/XltEPcaXBZI/AAAAAAAAm5E/oQeKUDeYF50ik7CueIHwRhmoWwPtZNU4QCLcBGAsYHQ/s640/f1dc4270-0dc2-4def-9641-0bf5d52a9ff2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno chatoa huduma ya bure katika kituo cha watoto wenye Albinism
Raisi Mstaafu wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno na Daktari Bingwa wa Watoto Rachel Mhavile toka Hospitali ya Taifa Muhimbili, akifanya ukaguzi wa kinywa na Meno kwa Kuyela Masuka, aliyeanguka toka juu ya mti nakusababisha jino lake lambele juu kushotolikawa linaninginia na kunadaktari aliye jaribu kulirudishia lakini tiba hiyo ikamshinda kwa sababu hakua amepiga mswaki vuzuri na kumsababishia kupata maambukizi na kushindwa kufumba mdomo na kutokula chakula, matibabu aliyoyapata...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQ24GFSBxD8/XnvEHfmycpI/AAAAAAAAnL0/3qphNIUpIpcjQgpa2SfgL6ijz6XZZIu4ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM BlogCORONA YAKATISHA MAADHIMISHO YA AFYA YA KINYWA NA MENO MKOANI KATAVI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s72-c/unnamed+(7).jpg)
CHAMA CHA MADAKTARI WANAFUNZI TANZANIA CHATOA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjWVjshaQ-w/U1MVp4V_rzI/AAAAAAAFb2k/odzr7rZ6nn0/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UiNN3w4-qrI/U1MVquwK0TI/AAAAAAAFb2o/-uiHENXTpMQ/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Vijimambo18 Mar
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/afJNJUtdOc4tqLoeCL89vyp8P-OFzZoG0wJEpY4r7wYFyto0aSWrzOUMp8BtdGSmdlOEAtwMNKz9jJ8adEqCOwdcaUPzOv9v/unnamed2.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc7ov-gqEiHQEERch9qXthjChL6DcF-BVFe7qe-DX5qTkHIqDR5YEONOicJqV-utIoa2135EnoFW8B1oWbiS5KRh/unnamed.jpg?width=650)
CHAMA CHA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO WAENDELEA KUTOA HUDUMA YA BURE KATIKA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI ALBINO
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII (TPHA) CHATOA ELIMU DHIDI YA KUPAMBANA NA TUMBAKU KWA VIJANA WADOGO DAR
Na Andrew Chale, modewjiblog [Dar es Salaam]
CHAMA cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku pamoja...
5 years ago
MichuziKIKUNDI CHA WANAWAKE ‘WOMEN FORCE’ CHATOA MSAADA WA VIFAA KUJIKINGA NA CORONA SHINYANGA
Kikundi cha Wanawake maarufu ‘ Women Force’ kinachojihusisha na Masuala ya Hisa na Kusaidia Jamii kimetoa msaada wa vifaa kinga vyenye Thamani ya Shilingi 700,000/= kwa ajili ya kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID -19) katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 22,2020 na Mwenyekiti wa Kikundi cha Women Force, Magreth Mambali kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Vifaa...