CHAMA CHA AFYA YA JAMII (TPHA) CHATOA ELIMU DHIDI YA KUPAMBANA NA TUMBAKU KWA VIJANA WADOGO DAR
Mratibu wa Mradi wa Madhara ya Tumbaku (TPHA) Dk. Bertha T.A. Maegga akizungumza wakati akifungua kongamano hilo lililo washirikisha wadau mbalimbali kwa kutoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku. (Picha na Geofrey Adroph).
Na Andrew Chale, modewjiblog [Dar es Salaam]
CHAMA cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku pamoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) chawaomba wadau kutoa ushirikiano ili kupambana na matumizi Tumbaku kwa vijana
Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
Mratibu wa Mradi...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII(TPHA) CHAWAOMBA WADAU KUTOA USHIRIKIANO ILI KUPAMBANA NA MATUMIZI TUMBAKU KWA VIJANA
(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
TPHA wafanya kongamano la kupinga matumizi ya bidhaa za Tumbaku kwa vijana wadogo
Mratibu wa Mradi wa Madhara ya Tumbaku (TPHA) Dk. Bertha T.A. Maegga akizungumza wakati akifungua kongamano hilo lililo washirikisha wadau mbalimbali kwa kutoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku. (Picha na Geofrey Adroph).
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam] Chama cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospitalâ€!!
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQ24GFSBxD8/XnvEHfmycpI/AAAAAAAAnL0/3qphNIUpIpcjQgpa2SfgL6ijz6XZZIu4ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) CHATOA MAELEKEZO KWA WANACHAMA WAKE KUJIKINGA NA CORONA
Kwa sisi madaktari na wahudumu wa afya ya kinywa na meno tujikumbushe yafuatayo:
1. Kama ilivyo ada tuendelee kutumia vikinga maaambukizo kama mask, gloves, mawani, nk wakati tunahudumia wagonjwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s72-c/unnamed+(7).jpg)
CHAMA CHA MADAKTARI WANAFUNZI TANZANIA CHATOA HUDUMA ZA AFYA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-19ohpt6t96A/U1MVqUTXIOI/AAAAAAAFb20/0U1G5_CxHJw/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VjWVjshaQ-w/U1MVp4V_rzI/AAAAAAAFb2k/odzr7rZ6nn0/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UiNN3w4-qrI/U1MVquwK0TI/AAAAAAAFb2o/-uiHENXTpMQ/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7uA50T4kGMA/U3WOK9z1PoI/AAAAAAAFiBM/t0Jerz6NkxY/s72-c/2.jpg)
Chama Cha Utabibu wa Dawa Asilia Tanzania chatoa somo kwa Wanahabari jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-7uA50T4kGMA/U3WOK9z1PoI/AAAAAAAFiBM/t0Jerz6NkxY/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lM9hCvQ-bag/U3WOOX80znI/AAAAAAAFiBc/IR7DvNwspk0/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jul
CHAMA CHA NGUMI ZA KULIPWA TPBC CHATOA MAFUNZO KWA MAREFARII