Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) chawaomba wadau kutoa ushirikiano ili kupambana na matumizi Tumbaku kwa vijana

Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)

Mratibu wa Mradi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

CHAMA CHA AFYA YA JAMII(TPHA) CHAWAOMBA WADAU KUTOA USHIRIKIANO ILI KUPAMBANA NA MATUMIZI TUMBAKU KWA VIJANA

Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA).
 (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)Mratibu wa Mradi wa...

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA AFYA YA JAMII (TPHA) CHATOA ELIMU DHIDI YA KUPAMBANA NA TUMBAKU KWA VIJANA WADOGO DAR

Mratibu wa Mradi wa Madhara ya Tumbaku (TPHA) Dk. Bertha T.A. Maegga akizungumza wakati akifungua kongamano hilo lililo washirikisha wadau mbalimbali kwa kutoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku. (Picha na Geofrey Adroph).
Na Andrew Chale, modewjiblog [Dar es Salaam] 
CHAMA cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku pamoja...

 

10 years ago

Dewji Blog

TPHA wafanya kongamano la kupinga matumizi ya bidhaa za Tumbaku kwa vijana wadogo

Mratibu wa Mradi wa Madhara ya Tumbaku (TPHA) Dk. Bertha T.A. Maegga akizungumza wakati akifungua kongamano hilo lililo washirikisha wadau mbalimbali kwa kutoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku. (Picha na Geofrey Adroph).

Na Andrew Chale, modewjiblog

[Dar es Salaam] Chama cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule  msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na  utumiaji wa bidhaa za Tumbaku...

 

9 years ago

Dewji Blog

Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital”!!

DSC_2982

Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa  wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa  na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANCDA WAMPONGEZA WAZIRI WA AFYA KUKEMEA MATUMIZI YA TUMBAKU KWA KUWA NI HATARI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
VIONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA)limeamua kutoa pongezi kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kwa hatua yake ya kukemea matumizi ya tumbaku kwa kuwa ni hatari kwa afya.
Kwa mujibu wa TANCDA ni kwamba tamko la Waziri Ummy Mwalimu linaonesha namna ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano inavyojali afya za Watanzania, lakini pia kulinda maslahi ya kiuchumi na kijamii.Waziri wakati akizindua Ripoti...

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA CHA WATAALAM WA AFYA YA KINYWA NA MENO TANZANIA (TDA) YATIA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO NA (MoU)

 TDA yatia Saini makubaliano ya ushirikiano (MoU) wa masuala ya Afya ya Kinywa na Meno kwa nchi za ukanda wa mto Nile. Aswan, Egypt 27/2/2020
 Rais wa chama cha madaktari wa afya ya kinywa na meno Tanzania, Dkt. Ambege Mwakatobe akisalimiana na Prof. Mohamed Sobhy Omer, Rais wa chama cha madaktari wa meno Aswan Dental Syndicate Egypt mara baada ya hafla hiyo kumalizika Aswan, Egypt 27/2/2020. (PICHA ZOTE NA TDA)

Kushoto ni Dr. Timothy Theuri katibu mkuu chama cha madaktari wa kinywa na meno...

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAANDAA WARSHA YA KUPITIA SHERIA JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKU.

 Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Mohd Dahoma, akifungua warsha ya kupitia sheria ya kudhibiti matumizi ya tumbaku Zanzibar iliyofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resourt Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.  Mshauri wa Ufundi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika William Onzivu akizungumza na washiriki wa warsha  hiyo (hawapo pichani) katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resourt. Afisa kutoka Bodi ya Mapato Tanzania (TRA) akitoa mchango katika warsha ya kupitia sheria...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akiangalia hatua za uchakataji wa dhahabu kwa wachimbaji wadogo kijiji cha Sambaru wilayani Ikungi mkoani Singida ambapo aliwapa elimu kuhusu namna ya kujikinga na wanapotumia kemikali ya zebakia ambayo ina madhara kwa afya na mazingira. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Sima akizungumza na wachimbaji wadogo katika mgodi mdogo ulipo kijiji cha Sambaru wilayani Manyoni mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani