Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) watembelea Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultramodern Hospitalâ€!!
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) wakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa maafisa wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa na Tiba ya “The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital” iliyopo ndani ya viunga vya Chuo kikuu cha Dodoma UDOM. Ziara hiyo imefanyika jana Desemba Mosi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
[DODOMA] Chama cha Afya ya Jamii Tanzania ( Tanzania Health Public Association-TPHA) kipo katika mkutano wake mkuu wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII (TPHA) CHATOA ELIMU DHIDI YA KUPAMBANA NA TUMBAKU KWA VIJANA WADOGO DAR
Na Andrew Chale, modewjiblog [Dar es Salaam]
CHAMA cha Afya ya Jamii nchini (TPHA), kimeendesha kongamano maalum kwa wanafunzi wa shule msingi zaidi ya Saba ndani ya Manispaa ya Kinondoni kwa lengo la kutoa elimu ya madhara yatokanayo na utumiaji wa bidhaa za Tumbaku pamoja...
9 years ago
MichuziCHAMA CHA AFYA YA JAMII(TPHA) CHAWAOMBA WADAU KUTOA USHIRIKIANO ILI KUPAMBANA NA MATUMIZI TUMBAKU KWA VIJANA
(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) chawaomba wadau kutoa ushirikiano ili kupambana na matumizi Tumbaku kwa vijana
Dk. Adeline l. Kimambo(kulia) kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) akitoa muhutasari wa Madhara ya Tumbaku mbele ya waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa waliofika kujadili changamoto wanazokabiliwa nazo hasa wanapokuwa wanatoa huduma kwa jamii kuhusu matumizi ya Tumbaku na kuwaomba wadau hao kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufikia malengo waliyojiwekea.Katikati ni Dk Faustine Njau kutoka Chama cha Afya ya Jamii (TPHA) (Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
Mratibu wa Mradi...
11 years ago
Dewji Blog31 May
Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana Mei 30, 2014. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s72-c/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
TAASISI YA BENJAMIN MKAPA YAMWAGA AJIRA 307 ZA WATUMISHI WA AFYA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XpK_uEuFGow/XnudcjoHuAI/AAAAAAALlC0/gw9bEcOK8LElZ9rTMUlLOmNneYydGBRwACLcBGAsYHQ/s640/59474c04-0bd8-4b85-9bd3-1ac842b5a37b.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akieleza jambo wakati wa kikao na Waandishi wa habari, kilichofanyika Jinjini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/658735b0-7fae-4a05-8d4c-38422f40c5f4.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na Waandishi wa habari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/414f7e28-ac98-4662-9c1e-f947fe20df8a.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya Benjamin Mkapa Dkt. Ellen Mkondya akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari, katika Mkutano ulioongozwa na Waziri wa Afya leo Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/67a650b7-10e6-40a9-a68d-b1e5c5f27311.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n7DsnPd7bHU/XnNUUy2jTCI/AAAAAAALkbE/UO0ZoGFduZ4ff3k2lRHDJtMdqxsbaUXQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B1.29.27%2BPM.jpeg)
MTAMBO WA KISASA WA KUVUNJA MAWE KWENYE MFUMO WA MKOJO BILA UPASUAJI WATUA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s72-c/S%2B1.jpg)
Wataalamu wa Magonjwa ya Figo kutoka Hospitali ya Apollo India Watembelea Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-dqAAYzzXnF8/VcUFW6XccMI/AAAAAAAAHrc/ui80ZIC0k7E/s640/S%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SFoM-6QXhRE/VcUFYQ2jebI/AAAAAAAAHro/4GR_BSNLbD4/s640/S%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4PE-sdGOPPk/VcUFW56cRXI/AAAAAAAAHrY/7fW8g1W-l6c/s640/S%2B3.jpg)
9 years ago
VijimamboRais Kikwete Afungua Hospitali ya Utafiti na Tiba Dodoma
11 years ago
MichuziBALOZI LIBERATA MULAMULA AMKARIBISHA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA NA MKEWE CHAKULA CHA JIONI NYUMBANI KWAKE
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI