Rais Kikwete Afungua Hospitali ya Utafiti na Tiba Dodoma
.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,na Rais wa Awamu ya Tatu Mh.Benjamin William Mkapa wakikata utepe kufungua rasmi la Hospitali ya utafiti wa Magonjwa iliyojengwa katika chuo kikuu cha Dodoma na kupewa jina The Benjamin Mkapa Ultra Modern Hospital.Hospitali hiyo itatumika kwa mafunzo,tafiti na tiba ya magonjwa makubwa hususan figo na moyo. (picha na Freddy Maro)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi ufunguo wa Hospitali ya Utafiti wa magonjwa ya The Benjamin Mkapa Ultra modern Hospital...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la 28 la mwaka la Wanasayansi la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Tiba (NIMR). Kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, limeandaliwa na Taasisi hiyo ya (NIMR). (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifungua pazia kuashiria kuzindua rasmi Kongamano la 28 la Mwaka la Taasisi ya Taifa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DSObq66QGkQwV3fLEQijyopGTj-nwXetuVTiafUWqiGmNoOfSYKxaxyEYoKuJhDC3-un8d*43neBTWwB1rJWgsW/1.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA HOSPITALI YA KMKM KIBWENI, ZANZIBAR
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua Semina ya Commodity Exchange Dodoma
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/13.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI NYUMBA ZA MAKAZI MEDELI, DODOMA
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI JENGO LA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI DODOMA
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Rais Kikwete ameipongeza Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa kujenga jengo zuri linaloakisi sifa na heshima ya utendaji wa Ofisi hiyo.
Kwa upande wake CAG, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuiwezesha ofisi yake na kuongeza uhuru wa ofisi hiyo kwa kuwawezesha kujenga majengo katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s72-c/MMGL1187.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_U0bEVomyAw/VZ5eZ24WlJI/AAAAAAAHn9k/ZRtnC1A5mV8/s640/MMGL1187.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VP18IrdhRvw/VQhTjqgqiCI/AAAAAAAHLFE/LxYr-4Px1Lg/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MAFUNZO YA WAKUU WAPYA WA WILAYA,MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-VP18IrdhRvw/VQhTjqgqiCI/AAAAAAAHLFE/LxYr-4Px1Lg/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKuYm8FtiWk/VQhTjbrRgGI/AAAAAAAHLE8/a0uBkYRo2lQ/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...