Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeJjxe6tx5dPgjHu5fttNLu-AJhsd8Jp9PdX4HIS*7EQGKpotvLloGQ5Rym-1AIKJtOEa5rHMWnwz-usofy5ZdOn/KJ1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA SONGEA-NAMTUMBO
11 years ago
Michuzi22 Jul
Rais kikwete afungua barabara ya Songe-Namtumbo leo
![D92A7678](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/HAu43JQSTfqVFXSeOEIVjFck1ciO_WCw-ZOdR9SVDyL6-iRQuEQX-YW5MQOKXc2yh5NZR2CEABpqNik4nAEyWYNNF7WMN-gNhOP1-S39EHrhWhxU-GnSve4s4uU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7678.jpg)
![D92A7684](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/W6B4Y1XoUn9SrwXOWFrXibs_F_lINGCTABWBTOoqzYJNDSwBtF7zZasy3wPKl3gwDcrUTo6ISkeAVQ6lNvY_BZ3iEJiLr0MG_v6Q2VJya8kDzaJZhXv5fEMR2s8=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7684.jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-kyarACRzXWE%2FVLa0_lUUHRI%2FAAAAAAADVgE%2Fl7kiswmur5s%2Fs1600%2Faa4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
11 years ago
Habarileo07 Jul
JK kuzindua barabara ya Songea -Namtumbo
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuzindua miradi miwili ya miundombinu ya barabara kutoka Songea hadi Namtumbo yenye kilometa 71.4 na Peramiho hadi Mbinga ya kilometa 78.
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Rais Kikwete na Mkewe wamjulia hali mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa aliyelazwa hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.(PICHA NA IKULU).
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvBnpF140NExkqqnQ7-5HQvT-Gw0fxrMkyaLAi17aWVtSrOS1qo*V**UACu40VCP2WxeyhVLhsz2WS-WQG6zwvd/VitaKawawa.jpg?width=700)
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO
10 years ago
Habarileo29 Nov
Matumaini yachanua barabara ya Namtumbo - Tunduru
HATIMAYE ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo hadi Tunduru yenye urefu wa kilometa 187.6, umeanza katika baadhi ya vipande vya barabara hiyo na kuleta matumaini mapya kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma na Mtwara.
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Mfanyakazi Namtumbo hospitali mbaroni kwa mauaji
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya kumchoma moto Sofia Mwingira (34), katika mtaa wa Luseteni wilayani Namtumbo. Wanaoshikiliwa ni mhudumu wa afya wa...