JK kuzindua barabara ya Songea -Namtumbo
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuzindua miradi miwili ya miundombinu ya barabara kutoka Songea hadi Namtumbo yenye kilometa 71.4 na Peramiho hadi Mbinga ya kilometa 78.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeJjxe6tx5dPgjHu5fttNLu-AJhsd8Jp9PdX4HIS*7EQGKpotvLloGQ5Rym-1AIKJtOEa5rHMWnwz-usofy5ZdOn/KJ1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA SONGEA-NAMTUMBO
10 years ago
Habarileo29 Nov
Matumaini yachanua barabara ya Namtumbo - Tunduru
HATIMAYE ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo hadi Tunduru yenye urefu wa kilometa 187.6, umeanza katika baadhi ya vipande vya barabara hiyo na kuleta matumaini mapya kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma na Mtwara.
11 years ago
Michuzi22 Jul
Rais kikwete afungua barabara ya Songe-Namtumbo leo
![D92A7678](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/HAu43JQSTfqVFXSeOEIVjFck1ciO_WCw-ZOdR9SVDyL6-iRQuEQX-YW5MQOKXc2yh5NZR2CEABpqNik4nAEyWYNNF7WMN-gNhOP1-S39EHrhWhxU-GnSve4s4uU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7678.jpg)
![D92A7684](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/W6B4Y1XoUn9SrwXOWFrXibs_F_lINGCTABWBTOoqzYJNDSwBtF7zZasy3wPKl3gwDcrUTo6ISkeAVQ6lNvY_BZ3iEJiLr0MG_v6Q2VJya8kDzaJZhXv5fEMR2s8=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7684.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKT9OO7kEfljf2VdFI7EeN8ZoqyEvWomoVKe5cQLnKXmh1Nz3J3ydV9lABlZNAZDdqPy6XzEc*uUARlBdN81vbo/Kawawa.jpg?width=650)
NAMTUMBO: WANANCHI WALIA NA KERO YA UMEME, MADARASA, MAJI NA BARABARA
9 years ago
Habarileo14 Sep
Kikwete kuzindua barabara Kigoma, daraja Malagarasi
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajiwa kuzindua barabara ya Kidahwe -Uvinza yenye urefu wa kilometa 76.6. Mbali na barabara hiyo, Rais pia atazindua daraja la Kikwete katika mto Malagarasi na barabara unganishi kilometa 48 mkoani Kigoma.
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE KUZINDUA BARABARA YA MWENGE —TEGETA.
Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar esalaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Muhandisi Musa Iyombe imeeleza kuwa sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo zitafanyika tarehe 1, Oktoba ,2014 katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa hiyo imeeleza...
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE KUZINDUA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - TEGETA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)