RAIS KIKWETE AFUNGUA BARABARA YA SONGEA-NAMTUMBO
![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeJjxe6tx5dPgjHu5fttNLu-AJhsd8Jp9PdX4HIS*7EQGKpotvLloGQ5Rym-1AIKJtOEa5rHMWnwz-usofy5ZdOn/KJ1.jpg?width=650)
Dkt.Jakaya Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Mfuko wa Changamoto za millennia(Millenium Challenge Corporation) Bwana Karl Fickensher wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi Kuzindua Barabara ya Lami ya Songea-Namtumbo yenye urefu wa kilometa 71.4 iliyojengwa kwa msaada wa Watu wa Marekani kupitia mfuko huo wakati wa hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo. Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
11 years ago
Michuzi22 Jul
Rais kikwete afungua barabara ya Songe-Namtumbo leo
![D92A7678](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/HAu43JQSTfqVFXSeOEIVjFck1ciO_WCw-ZOdR9SVDyL6-iRQuEQX-YW5MQOKXc2yh5NZR2CEABpqNik4nAEyWYNNF7WMN-gNhOP1-S39EHrhWhxU-GnSve4s4uU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7678.jpg)
![D92A7684](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/W6B4Y1XoUn9SrwXOWFrXibs_F_lINGCTABWBTOoqzYJNDSwBtF7zZasy3wPKl3gwDcrUTo6ISkeAVQ6lNvY_BZ3iEJiLr0MG_v6Q2VJya8kDzaJZhXv5fEMR2s8=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/D92A7684.jpg)
11 years ago
Habarileo07 Jul
JK kuzindua barabara ya Songea -Namtumbo
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuzindua miradi miwili ya miundombinu ya barabara kutoka Songea hadi Namtumbo yenye kilometa 71.4 na Peramiho hadi Mbinga ya kilometa 78.
9 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Wadau wa Barabara wa TAMISEMI
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete afungua rasmi Barabara ya Mwenge-Tegeta jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA YA USAGARA-KISESA, PIA AFUNGUA DARAJA LA MABATINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTvBnpF140NExkqqnQ7-5HQvT-Gw0fxrMkyaLAi17aWVtSrOS1qo*V**UACu40VCP2WxeyhVLhsz2WS-WQG6zwvd/VitaKawawa.jpg?width=700)
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)