Rais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) na balozi mdogo wa Japan nchini Kazuyoshi Matsunaga (wa tatu kushoto) wakishirikiana kukata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ujenzi wa Barabara ya Tunduru-Mangaka Matemanga mradi unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa ushirikiano wa serikali ya Japan kupitia shirika lake la kimataifa la maendeleo JICA.Wengine pichani toka kushoto ni ni Mbunge wa Nanyumbu Dunstan Mkapa,Mkuu wa Mkoa wa Mtwara,Kapten Mstaafu Joseph Simbakalia,Waziri wa ujenzi Dkt. John...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9UayVpslErw/U87X30L14pI/AAAAAAAF410/UyUhBUTQQdM/s72-c/D92A9730.jpg)
JK azindua ujenzi wa Barabara ya Matemanga Tunduru Mangaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-9UayVpslErw/U87X30L14pI/AAAAAAAF410/UyUhBUTQQdM/s1600/D92A9730.jpg)
9 years ago
MichuziDK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation
![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8K0O7Dxf1fc/U87dxaw3LLI/AAAAAAAF42s/7RdnuEbn8mo/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete azindua ujenzi wa Mradi wa Maji Lindi, awazawadia washindi Nanenane
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA YA USAGARA-KISESA, PIA AFUNGUA DARAJA LA MABATINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Rais Kikwete azindua mradi wa ujenzi Nyumba za maafisa wa jeshi
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmBpjlp_aeU/VJcEfxW8DbI/AAAAAAAG428/1TLdMN7W1jk/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Picha na Freddy Maro
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tIYWTHu9i4/VJcEf756p4I/AAAAAAAG424/4ZWlAakb9aw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete azindindua mradi wa ujenzi wa Barabara ya Magole-Turiani —Mziha
10 years ago
Habarileo29 Nov
Matumaini yachanua barabara ya Namtumbo - Tunduru
HATIMAYE ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo hadi Tunduru yenye urefu wa kilometa 187.6, umeanza katika baadhi ya vipande vya barabara hiyo na kuleta matumaini mapya kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma na Mtwara.