JK azindua ujenzi wa Barabara ya Matemanga Tunduru Mangaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-9UayVpslErw/U87X30L14pI/AAAAAAAF410/UyUhBUTQQdM/s72-c/D92A9730.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mbunge wa Tunduru mhandisi Ramo Makani, Balozi mdogo wa Japan Kazuyoshi Matsunaga na mwakilishi Mkazi wa Benki ya maendeleo ya Afrika(ADB) Bibi Tonia Kandiero wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua ujenzi Barabara ya kilometa 195.7 ya Matemanga Tunduru-Mangaka uliofanyika Tunduru mjini.Barabara hiyo imejengwa na serikali ya Tanzania kupitia wakala wa Barabara TANROADS ikisaidiwa na Benki ya mendeleo ya Afrika ADB na shirika la maendeleo la Japan...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
9 years ago
MichuziDK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s72-c/unnamed+(54).jpg)
JK afungua nyumba za Watumishi wa Afya Matemanga, Tunduru, zilizojengwa na Mkapa Foundation
![](http://3.bp.blogspot.com/-aMOtUgmwRsc/U87dv9TbmJI/AAAAAAAF42k/jgJalKXTiPU/s1600/unnamed+(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8K0O7Dxf1fc/U87dxaw3LLI/AAAAAAAF42s/7RdnuEbn8mo/s1600/unnamed+(55).jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jan
WAZIRI DKT. MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA BARABARA ZA PETE JIJINI DAR ES SALAAM.
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI AZINDUA MIRADI SITA YA UJENZI WA BARABARA ZA KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA JIJI LA DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboWaziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli Azindua barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
10 years ago
Habarileo29 Nov
Matumaini yachanua barabara ya Namtumbo - Tunduru
HATIMAYE ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo hadi Tunduru yenye urefu wa kilometa 187.6, umeanza katika baadhi ya vipande vya barabara hiyo na kuleta matumaini mapya kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma na Mtwara.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)