Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli Azindua barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiweka jiwe la msingi kuashiria ufunguzi wa barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro pamoja na viongozi wengine wa Wilaya ya Mbarali.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara hiyo. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro pamoja na viongozi wengine.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa barabara nchini TANROADS Eng. Patrick...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI AFUNGUA BARABARA YA IGAWA-RUJEWA KM 9.8
10 years ago
Vijimambo01 Feb
BARABARA YA IGAWA — UBARUKU KUJENGWA KWA LAMI.
![](http://api.ning.com/files/g3sZFdca7afLjIAquE4x3*7dnE2Ri49dxs*nJx01MmyvQzrztWlT9tX0abtijUNuH4wYaM69jcu7HoaODXRMwcHk7Lx0xmgV/WAZIRIMAGUFULI.jpg?width=650)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (pichani) amesema serikali itajenga barabara ya Igawa hadi Ubaruku KM 18 kwa kiwango cha lami ili kuinua fursa za uchumi za wilaya ya Mbarali na kuwezesha magari makubwa kupita kwa urahisi kufuata mazao katika eneo hilo.Waziri Dkt. Magufuli amesema hayo katika ziara yake inayoendelea mkoani Mbeya ambapo leo ameweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya igawa-ubaruku yenye urefu wa KM 18 na kusisitiza barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa mkoa wa...
10 years ago
Vijimambo27 Jan
WAZIRI DKT. MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA BARABARA ZA PETE JIJINI DAR ES SALAAM.
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...
10 years ago
GPLWAZIRI WA UJENZI DKT JOHN MAGUFULI AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA UKANDARASI WA BARABARA YA DOT SERVICES YA NCHINI UGANDA
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
Michuzi12 Aug
RFB yafanikiwa kufanya maboresha ya barabara kwa kiwango cha lami nchini
![unnamed (100)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/unnamed-100.jpg)
![unnamed101](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/unnamed101.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s72-c/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
RFB yafanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-wIRZ0ShKv5A/Vcr1EgiZtuI/AAAAAAAHwJw/0P5CeeeKh6Q/s400/Open-Road-TanzaniaWM.jpg)
Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini(RFB) imefanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Serikali ya awamu ya nne wa Mhe. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana Bw. Joseph Haule amesema kuwa matengenezo hayo yamefanikisha ujenzi wa barabara kuu zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini kukamilika kwa asilimia 89 huku zile za Wilaya na Miji kwa asilimia 57.
“ kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
MichuziDkt. Magufuli asema Wilaya ya Nyasa - Mbinga kuunganishwa kwa kwa Barabara ya Lami
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....