WAZIRI WA UJENZI AFUNGUA BARABARA YA IGAWA-RUJEWA KM 9.8
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiweka jiwe la msingi kuashiria ufunguzi wa barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro pamoja na viongozi wengine wa Wilaya ya Mbarali.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara hiyo. Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro pamoja na viongozi wengine.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akizungumza na wakazi wa Ubaruku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWaziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli Azindua barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Mvua yakata barabara Rujewa — Madibila
MVUA zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha kukatika mawasiliano ya barabara inayounganisha eneo la Rujewa na Madibila wilayani Mbarali, Mbeya. Wakizungumza na Tanzania Daima jana baadhi ya wananchi waliokutwa eneo hilo wakivuka...
10 years ago
Vijimambo01 Feb
BARABARA YA IGAWA — UBARUKU KUJENGWA KWA LAMI.
![](http://api.ning.com/files/g3sZFdca7afLjIAquE4x3*7dnE2Ri49dxs*nJx01MmyvQzrztWlT9tX0abtijUNuH4wYaM69jcu7HoaODXRMwcHk7Lx0xmgV/WAZIRIMAGUFULI.jpg?width=650)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (pichani) amesema serikali itajenga barabara ya Igawa hadi Ubaruku KM 18 kwa kiwango cha lami ili kuinua fursa za uchumi za wilaya ya Mbarali na kuwezesha magari makubwa kupita kwa urahisi kufuata mazao katika eneo hilo.Waziri Dkt. Magufuli amesema hayo katika ziara yake inayoendelea mkoani Mbeya ambapo leo ameweka jiwe la msingi ujenzi wa barabara ya igawa-ubaruku yenye urefu wa KM 18 na kusisitiza barabara hiyo ni muhimu kwa uchumi wa mkoa wa...
5 years ago
MichuziWANANCHI KIJIJI CHA IGAWA WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO-DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kijiji cha Igawa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuboresha miundombinu ya barabara hatua inayolenga kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Idara ya Habari (MAELEZO) hivi karibuni Kijijini hapo, wananchi hao walisema udhubutu uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kutekeleza miradi mikubwa ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EUGPTCWU1Cg/XlzLTC3oZRI/AAAAAAALgWM/ymzQFCm10LAJFIdRsXMCbDbDasfYa6wVgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU AFUNGUA BARABARA YA MAKORORA - MSAMBWENI JIJINI TANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EUGPTCWU1Cg/XlzLTC3oZRI/AAAAAAALgWM/ymzQFCm10LAJFIdRsXMCbDbDasfYa6wVgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ysaxHEnfaFM/XlzLSZ8vGAI/AAAAAAALgWI/GcQ5aa8ezdIEQ_oRr9qP36k6kVEUtSvcwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
10 years ago
MichuziWaziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi
BOFYA HAPA KWA...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10