Waziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi
Mamia ya wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli mara baada ya kumsimamisha alipokuwa njiani kuelekea mkoani Rukwa kwa ajili ya Ukaguzi wa barabara za mkoa huo.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi hao wa Tunduma.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiagana na wananchi wa Tunduma mara baada ya kuwahutubia na kuwaahidi ujenzi wa barabara ya Tunduma mjini kwa njia nne ili kupunguza kero ya msongamano wa malori katika eneo hilo.
BOFYA HAPA KWA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s72-c/IMG_1989.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...
![](http://3.bp.blogspot.com/-bl6FN1eXsyA/VNEZNvmUChI/AAAAAAAAGUY/ZbuxslaVKy4/s1600/IMG_1989.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0Ba7CFYbbA/VNEXUCToWwI/AAAAAAAAGT8/blssevIgj3c/s1600/IMG_4378.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO AFANYA ZIARA OFISI YA BODI YA MFUKO WA BARABARA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/115.png?width=650)
MH. LUKUVI AANZA ZIARA MKOANI RUKWA
10 years ago
Michuzi26 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa aanza ziara za kukagua miradi Mikoani
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/9H-xeC81noLiLEuJTDQlOmXXDMxpLGGOrvalX7Y1JdbvOC6rwA13psxDIqDVh7TzuydHHkAEoNqqkjzgjpAasSUdK1CjEWqvKDf6uLz2QqrSu_jFl2f6uajYzGzsumPrAUq92IVLhapcilzNdktAm3NxL8094meHltQERpbz8LeDQSqpCKj2CaM1QpM0segDbHgnrhEic_AFv7glnI7bv_cJXTsAjMTb74yTi86B0qnqbjPghF9KmmUJUvMVEffutSyX9UEGdTgjIlxfz9hZ5MTipSd9JJoP4RxY1HRfJBqnIOYjBpQyfMhmkCRwx8JECHNWE7og6TibhpuWTJwn841ziowTADw197p9ogdT5CKnnNIyUppBPbbor7oHGOnbvLuj81AEwZFr0A=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-wbLZcKFl76o%2FVMXjPCyvMmI%2FAAAAAAAAMyg%2FIuwbUTP8PBw%2Fs1600%2FZIARA%252BYA%252BMKURUGENZI%252BMKUU%252BMIKOANI-3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/qHyBYZTgG-mQHf81JHvcCC6jtW0Kw0C7IfplaJV-4MNT2XSZutGKxSY7d7JEzCuKK_IyzQh5xlniW5QAu5BtJ5-A4qVTOnlRs3MFHs27Nlh_AlPT6pIYdiOShaZeKmK2QZ_HvXI_olfulY8KIhVzVmKSOHDiOHnF_n3yxfyuj1twuUYDTUGMn1GstJk18x5mrgbmE1K82TTzHkpDA9illV5GnXV1n_XKG98UTckea2VWTgx3fASm0uYarm3swZNVzjWkWchlLaQ_EqYbeMI6Uo1q-i1FiesMKgl04zTuCbyzsv7YTgJrrVdEQ2iTvaw6x9unsSROZ9D_YmsGh4E_SKgNANTKYA4nU68lAfCaDLejsfW9YQMyZ5uLZ6oIYqulMp3-9ggVOKDMjQ=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-TFzzM8U2QqE%2FVMXjPuNqfVI%2FAAAAAAAAMyk%2F6yF11YudZtM%2Fs1600%2FZIARA%252BYA%252BMKURUGENZI%252BMKUU%252BMIKOANI-4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPLKINANA AHITIMISHA ZIARA YA SIKU 21 YA MIKOA YA RUKWA,KIGOMA NA KATAVI
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
William Lukuvi aanza ziara mkoani Rukwa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya alipowasili uwanja wa ndege wa Sumbawanga kuanza ziara ya kutatua migogoro ya ardhi Mkoani humo.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akimpokea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi alipowasili eneo la Jangwani mjini Sumbawanga kuweka jiwe la msingi katika nyumba za makazi zinazojengwa na NHC kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s72-c/PINDA%2B2.jpg)
WAZIRI MKUU AANZA KUSAKA WADHAMINI KATAVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s320/PINDA%2B2.jpg)
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda ameanza safari ya kusaka wadhamini kwa kuzuru Mkoa wa Katavi.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili Mpanda jana jioni (Jumapili, Juni 14, 2015), alipokelewa na maelfu ya wakazi wa mji wa Mpanda ambao waliamua kumsindikiza kwa mchakachaka na bodaboda kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake, Makanyagio.
Hadi mchana huu amekwishapata wadhamini 4,243 kwa kuzuru vituo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CIvtCfdR_fw/UmKqn2U-lHI/AAAAAAAAmPA/qgPNNh_5B1A/s72-c/IMG_5009.jpg)
WARIZI WA UJENZI AKAGUA BARABARA MBEYA NA RUKWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CIvtCfdR_fw/UmKqn2U-lHI/AAAAAAAAmPA/qgPNNh_5B1A/s640/IMG_5009.jpg)