WAZIRI MKUU AANZA KUSAKA WADHAMINI KATAVI

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda ameanza safari ya kusaka wadhamini kwa kuzuru Mkoa wa Katavi.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili Mpanda jana jioni (Jumapili, Juni 14, 2015), alipokelewa na maelfu ya wakazi wa mji wa Mpanda ambao waliamua kumsindikiza kwa mchakachaka na bodaboda kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake, Makanyagio.
Hadi mchana huu amekwishapata wadhamini 4,243 kwa kuzuru vituo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU APATA WADHAMINI 9,141 KATAVI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Lowassa atikisa Dodoma, achukua fomu aanza kusaka wadhamini “Chap Chap”, awazoa lukuki Dodoma

10 years ago
MichuziWaziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi
BOFYA HAPA KWA...
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMTEMBELEA MAMA YAKE MZAZI WAZIRI MKUU PINDA MKOANI KATAVI LEO


10 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI

10 years ago
Michuzi
MAGUFULI AITIKISA KATAVI,WAZIRI MKUU PINDA AMNADI KWA KISHINDO.

Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ

11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ni wakati wa klabu kusaka wadhamini
10 years ago
Michuzi
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI


10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mkulima atumia mabasi kusaka wadhamini