Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WARIZI WA UJENZI AKAGUA BARABARA MBEYA NA RUKWA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia wakazi wa mji wa Tunduma mkoani Mbeya kuwa Serikali itajenga barabara ya njia nne katika mji huo ili kupunguza msongamano wa magari na kuuwezesha mji huo kuwa wa kisasa na kibiashara.Amesema hayo katika ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya barabara inayoendelea katika mikoa ya Mbeya na Rukwa ambapo akiwa mjini Tunduma amekutana na wananchi wanaofanyabiashara katika mji huo.“Dumisheni umoja,amani na mshikamano ili mfanye biashara zenu na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...

Barabara ya Tunduma-Ikana-Laela hadi Sumbawanga ikiwa imekamilika kwa asilimia mia moja (100%), barabara hii ambayo ni kiungo muhimu cha Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi, Kigoma na Tabora imejegwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Msaada kutoka kwa watu wa Marekani.Waziri wa Wizara ya Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mjini Sumbawanga tarehe 02/02/2015 katika viwanja vya Nelson Mandela akiwa ziarani Mkoani Rukwa kukagua ujenzi unaoendelea wa barabara za lami za...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA

 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akisalimiana na baadhi ya wakazi wa Patandi wakati akiwasili kwenye hafla hiyo ya kukagua ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa mawili. Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akizungumza na wakaazi wa Patandi, Sangis na Tengeru kuhusu ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa...

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI DKT. MAGUFULI AKAGUA BARABARA MKOANI MBEYA.

aziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli amekagua barabara mkoani Mbeya na kuahidi ujenzi wa kiwango cha lami, barabara ya Mpemba-Isongole yenye urefu wa KM 58 Wilayani Ileje.Akizungumza mara baada ya kufungua sehemu ya barabara ya lami wilayani humo kati ya Isongole hadi Itumba KM 9, Waziri Magufuli amesema Serikali itaijenga kwa kiwango cha lami barabara ya Mpemba-Itumba KM 58, ili kufungua fursa za uchumi wilayani Ileje na kuhakikisha barabara hiyo inaungana na nchi ya malawi kwa lami na...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Ujenzi aanza ziara ya Ukaguzi wa barabara mikoani ya Rukwa na Katavi

Mamia ya wakazi wa Tunduma wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli mara baada ya kumsimamisha alipokuwa njiani kuelekea mkoani Rukwa kwa ajili ya Ukaguzi wa barabara za mkoa huo.Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwahutubia wananchi hao wa Tunduma.Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiagana na wananchi wa Tunduma mara baada ya kuwahutubia na kuwaahidi ujenzi wa barabara ya Tunduma mjini kwa njia nne ili kupunguza kero ya msongamano wa malori katika eneo hilo.
BOFYA HAPA KWA...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UJENZI AKAGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI KM 251.4

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akikagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kolo katika Barabara ya Dodoma-Babati sehemu ya Mela-Bonga. Mwandisi Mkazi katika mradi wa Barabara ya Dodoma-Babati sehemu ya Mayamaya-Mela, Eng. Emeterio Onias wapili kutoka kulia akimpa maelekezo Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe kuhusu ujenzi wa Barabara  hiyo.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe katikati akitoa maelekezo kwa Mkandarasi anayejenga barabara ya...

 

10 years ago

Michuzi

Prof. Mwandosya akagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi,Tukuyu

Bango la Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakipata maelezo ya ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Wakati walipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.Waziri wa nchi...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA KILOMITA 12

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akitembele Mradi wa Ujenzi wa Bara bara inayoanzia Kiashangwe Mkwajuni hadi Mbuyu Tende Matemwe unaotekelezwa na Kampuni ya Penny Royal inayosimamia mradi mkubwa wa ujenzi wa  Hoteli ya Kimataifa itayopewa jina Zanzibar Amber Resort.
Kulia ya Balozi Seif ni Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Zanzibar Amber
Resort kwa upande wa Zanzibar Bibi Naila Jidawi.Balozi Seif akielezea faraja yake mbele ya Uongozi wa Zanzibar Amber Resort kutokana na hatua...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MUDA KATIKA ENEO LA KIYEGEYA WILAYANI KILOSA


 Kazi ya ujenzi wa barabara ya muda katika eneo la Kiyegeya wilayani Kilosa Machi 10, 2020. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  amekagua ujenzi huo leo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patric Mfugale  (mwenye kofia) wakati alipokagua ujenzi wa barabara ya muda  katika eneo la Kiyegeya wilayani Kilosa Machi 10, 2020. Kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani