DK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA
Maelezo ya Picha zikimuonesha Mgombea Urais Kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Mtambo maalum unao changanya Saruji, Kokoto na Udongo(Pulverizer or Rotary Mixer) katika ujenzi wa Barabara ya Kutoka Tunduru kwenda Mangaka katika eneo la Kilimasera-Matemanga km 68.2.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRais Kikwete afungua ujenzi wa barabara Tunduru - Mangaka matemanga,pia azindua mradi wa maji Nalasi -Tunduru
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9UayVpslErw/U87X30L14pI/AAAAAAAF410/UyUhBUTQQdM/s72-c/D92A9730.jpg)
JK azindua ujenzi wa Barabara ya Matemanga Tunduru Mangaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-9UayVpslErw/U87X30L14pI/AAAAAAAF410/UyUhBUTQQdM/s1600/D92A9730.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Nov
Matumaini yachanua barabara ya Namtumbo - Tunduru
HATIMAYE ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo hadi Tunduru yenye urefu wa kilometa 187.6, umeanza katika baadhi ya vipande vya barabara hiyo na kuleta matumaini mapya kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma na Mtwara.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.CR2.jpg)
Wakandarasi wanawake wapigwa msasa ujenzi wa barabara
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s640/2.CR2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIAOgY-r6c4/XmqMvsKGoGI/AAAAAAAC8XM/flqpMxBazWMuj64o9l2U6LCmhPfCiUbDACLcBGAsYHQ/s640/3.CR2.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa
NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-
SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Na9g7rHYYEY/Vff9BPaclhI/AAAAAAAH4-k/HZNENgicBC4/s72-c/IMG-20150915-WA0051.jpg)
DK MAGUFULI AKIWA KATIKA VIWANJA VYA ULYANKULU WILAYA YA KALIUA TABORA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Na9g7rHYYEY/Vff9BPaclhI/AAAAAAAH4-k/HZNENgicBC4/s640/IMG-20150915-WA0051.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_vhppzZaF-g/Vff9BEfQVsI/AAAAAAAH4-0/L36wCdNnH8s/s640/IMG-20150915-WA0052.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3k828IT5VCA/Vff9BpmJHcI/AAAAAAAH4-o/-Hh27tD2txk/s640/IMG-20150915-WA0054%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
MillardAyo17 Dec
DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!!
Ile kauli ya Rais kuhakikisha anapunguza matumizi yasiyo yalazima kwa Serikali imeendelea kuchukua headlines, pia tumeshuhudia baadhi ya viongozi wakisimamishwa kazi kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma Leo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amewageukia wakandarasi wa barabara za Manispaa yake ambao imeonekana wametumia kiasi cha fedha za umma kinyume na makubaliano. […]
The post DC MAKONDA kawageukia wakandarasi wa barabara..Kuna ufisadi? stori iko hapa!! appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8dV-zCFTzWE/VZHde5sNfnI/AAAAAAAHlyQ/kgltInJeoBQ/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Dkt Magufuli akagua ujenzi wa Madaraja katika Barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dV-zCFTzWE/VZHde5sNfnI/AAAAAAAHlyQ/kgltInJeoBQ/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qmaSnk4Ts4c/VZHde9gu48I/AAAAAAAHlyU/Gtbpyug64co/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L0TwC2zf8do/VZHdfpCcq-I/AAAAAAAHlyc/cm_519gZ1Bc/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton72guarVY/VZHdfuB48DI/AAAAAAAHlyo/0ZBMDFxDKxI/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)