Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-
SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Jul
Wakandarasi waidai serikali bil 600/-
WAKANDARASI wanaojishughulisha na ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini wanaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 600, hali inayosababisha kuzorota kwa utekelezaji wa baadhi ya miradi hiyo na mingine kusimama.
9 years ago
MichuziWALIMU ARUSHA WAIDAI SERIKALI BILIONI 4
Na Woinde Shizza,ArushaCHAMA cha Walimu mkoa wa Arusha CWT wamelalamikia serikali na kuitaka kutekeleza kwa wakati madeni yao la zaidi ya billioni 4 kwani yamekuwa kikwazo katika ufanisi wa kazi hali ambayo inapelekea walimu...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni
11 years ago
Mwananchi06 May
Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CjshdsFPLC0/XuMfkzZLi7I/AAAAAAALthc/kd4z4CIoCmoiHHna0kZN-n7puC3y0ZUewCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
Barabara za lami katika Mji wa Serikali kugharimu zaidi ya Bilioni 89
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati akiweka jiwe la...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Fedha za mfuko wa barabara wapewe wakandarasi wazawa
NA JUMBE USMAILLY, MANYONI
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewaagiza wahandisi, mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha fedha zote zilizotolewa na Mfuko wa Barabara, kazi zake zote zitolewe kwa wakandarasi wazalendo.
Dk. Magufuli alitoa agizo hilo mjini Manyoni mkoani Singida wakati akiweka jiwe la msingi la barabara ya mjini Manyoni yenye urefu wa kilomita 2.8 inayotengenezwa kwa kiwango cha lami kwa gharama ya sh. bilioni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.CR2.jpg)
Wakandarasi wanawake wapigwa msasa ujenzi wa barabara
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XgZW5wgi8Y/XmqMv0WoAEI/AAAAAAAC8XU/0XotaZQUMEoxkEAxkOcojLrW8w-7TdNtgCLcBGAsYHQ/s640/2.CR2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uIAOgY-r6c4/XmqMvsKGoGI/AAAAAAAC8XM/flqpMxBazWMuj64o9l2U6LCmhPfCiUbDACLcBGAsYHQ/s640/3.CR2.jpg)
9 years ago
MichuziDK.MAGUFULI AKIWA NA WAKANDARASI KATIKA BARABARA YA TUNDURU-MANGAKA