Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni

Wakulima nchini wanaidai Serikali Sh73 bilioni baada ya kuiuzia mazao yao kwa mkopo.

 

9 years ago

Michuzi

WALIMU ARUSHA WAIDAI SERIKALI BILIONI 4

Mwenyekiti wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha ,Mwalimu Jovin  Kuyenga akizungumza na waandishi wa habari jana Ofisini kwake  juu ya deni la shilingi bilioni 4 wanalodai  kwa serikali, kushoto ni Katibu wa Chama cha Walimu mkoa wa Arusha, Mwalimu Hassan Saidi.

Na Woinde Shizza,ArushaCHAMA cha Walimu mkoa wa Arusha CWT wamelalamikia serikali na kuitaka kutekeleza kwa wakati madeni yao la zaidi ya billioni 4 kwani yamekuwa kikwazo katika ufanisi wa kazi hali ambayo inapelekea walimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni

Serikali imepokea maombi ya fidia ya Sh5 bilioni kutoka kwa wananchi waliochomewa nyumba na kuharibiwa vifaa mbalimbali katika vurugu zilizosababishwa na masuala ya gesi mkoani Mtwara.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-

SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa

WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.

 

9 years ago

Michuzi

DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.

JIKO ni dawa asilia inayo tolewa na duka la kuuza dawa za asili liitwalo NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC. Dawa hii ni ya asili kabisa isiyo na kemikali za viwandani na ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini.
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...

 

10 years ago

GPL

MKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA

Msimamizi wa Utafiti na Mifumo ya Ubora katika ofisi ya Mkemia Mkuu, Benny Mallya (kushoto) akitoa ufafanuzi.  Kulia ni Afisa Habari Idara ya Maelezo, Fatma Salum. Wanahabari waliofika kwenye hafla hiyo. Mallya akionyesha Cheti cha  Kimataifa cha Ubora katika Uthibiti na Ukaguzi katika ofisi ya Mkemia Mkuu . WAKALA Mkuu…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa

Profesa Manyele_0

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).

Na Beatrice Lyimo, Maelezo

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali

Serikali imesema imefanikiwa kudhibiti matumizi yasiyofaa ya tindikali baada ya kuweka utaratibu unaowaruhusu watu walioorodheshwa tu kununua kemikali hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani