Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni
9 years ago
MichuziWALIMU ARUSHA WAIDAI SERIKALI BILIONI 4
Na Woinde Shizza,ArushaCHAMA cha Walimu mkoa wa Arusha CWT wamelalamikia serikali na kuitaka kutekeleza kwa wakati madeni yao la zaidi ya billioni 4 kwani yamekuwa kikwazo katika ufanisi wa kazi hali ambayo inapelekea walimu...
11 years ago
Mwananchi06 May
Wananchi waidai Serikali fidia ya Sh10 bilioni
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Wakandarasi barabara waidai Serikali bilioni 731/-
SERIKALI inadaiwa jumla ya sh bilioni 731 na wakandarasi mbalimbali ambao wanatekeleza miradi mbalimbali ya barabara nchini. Hayo, yalibinishwa jana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa
WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s72-c/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s640/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...
10 years ago
GPLMKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo, Maelezo
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali