DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s72-c/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
JIKO ni dawa asilia inayo tolewa na duka la kuuza dawa za asili liitwalo NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC. Dawa hii ni ya asili kabisa isiyo na kemikali za viwandani na ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini.
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwHz-0uoUVswUKBuUmKTJ-CHS*0qK8S5tJukQky2eA9XZE3YENDay5ESsGuex7ORKBzwA9LSB3sRGZnqm-EtdXpv/1.jpg?width=650)
OFISI YA MKEMIA MKUU YATOA TAARIFA YA DAWA ZA KULEVYA YA MWAKA 2013 NCHINI
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo, Maelezo
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...
10 years ago
Michuzi19 Sep
MAAJABU YA DAWA YA JIKO KATIKA KUMALIZA NA KUPONYESHA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.
JINSI DAWA YA JIKO INAVYO FANYA KAZI.Dawa ya JIKO inasadia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s72-c/unnamed.jpg)
DAWA YA JIKO KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa
WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.
10 years ago
GPLMKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali