MKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA
Msimamizi wa Utafiti na Mifumo ya Ubora katika ofisi ya Mkemia Mkuu, Benny Mallya (kushoto) akitoa ufafanuzi. Kulia ni Afisa Habari Idara ya Maelezo, Fatma Salum. Wanahabari waliofika kwenye hafla hiyo. Mallya akionyesha Cheti cha Kimataifa cha Ubora katika Uthibiti na Ukaguzi katika ofisi ya Mkemia Mkuu . WAKALA Mkuu…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Feb
Kesi zinazohusu Kemikali, Ofisi ya Mkemia mkuu yakabiliwa na changamoto.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyele amesema kuwa bado ofisi yake inakabiliwa na changamoto ya uchukuaji wa vielelezo pindi kunapojitokeza kesi zinazohusishwa na kemikali za mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kutokana na uhifadhi wa unaotumika kutoka katika eneo la tukio.
Profesa Manyele aliyasema hayo katika ufunguzi wa ofisi ya mkemia mku itakayofanyakazi katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ajili ya kusogeza huduma kwa wananchii.
Katika...
9 years ago
Michuzi18 Sep
WIZARA YA AFYA YAMTAKA MKEMIA MKUU KUFUATILIA MATUMIZI YA SIGARA YA KIKO YA MAJI (SHISHA)
Akizungumza katika hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi na walimu bora wa masomo ya kemia na biolojia kwa mwaka 2013-2014 iliyofanyika leo Ijumaa (Septemba 18, 2015), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt Donan Mmbando alisema...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali
5 years ago
MichuziWajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.
Akizungumza katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji wa...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa
WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s72-c/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s640/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa
Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).
Na Beatrice Lyimo, Maelezo
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali