WIZARA YA AFYA YAMTAKA MKEMIA MKUU KUFUATILIA MATUMIZI YA SIGARA YA KIKO YA MAJI (SHISHA)
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeiagiza Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kufuatilia matumizi ya sigara ya kiko ya maji (Shisha) katika kumbi za starehe za hapa nchini kwa kuwa sigara hizo zinahusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya.
Akizungumza katika hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi na walimu bora wa masomo ya kemia na biolojia kwa mwaka 2013-2014 iliyofanyika leo Ijumaa (Septemba 18, 2015), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt Donan Mmbando alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA
5 years ago
MichuziWIZARA YA MAJI KUTENGA SHILINGI BILIONI 2, KUPELEKA MAJI MASHULENI NA VITUO VYA AFYA
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI MBAGALA KUU,JIJINI DAR LEO
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAANDAA WARSHA YA KUPITIA SHERIA JUU YA MATUMIZI YA TUMBAKU.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IJ4aPt-HpNY/UwRfreF0EGI/AAAAAAAFN3k/a3fZWaDHSq4/s1600/Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+akizungumza+na+wataalamu+wa+wilaya+ya+Kalambo+Mkoa+wa+Rukwa+jana.+Kushoto+ni+Mkuu+wa+wilaya+Moshi+Chang'a+na+kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-839lJW_mepg/UwReWv0Sz9I/AAAAAAAFN3U/g2Lb40a-vPk/s1600/DC+wa+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akikabidhi+hundi+ya+shilingi+milioni+7+kwa+Kaimu+Mkurugenzi+wa+Halmashauri+ya+wilaya+hiyo+Herbert+Bilia.+Kulia+ni+Katibu+Mkuu+wazara+ya+Meanedeleo+ya+Jamii+aliyetoa+hundi+hiyo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L-m0e43rk-k/UwResIzVoPI/AAAAAAAFN3c/d_8jaUsUxOs/s1600/Mkuu+wa+wilaya+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akizungumza+wakati+wa+ziara+ya+Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+(katikati)+wilayani+humo+jana.+Kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa
WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AJIONEA UHARIBIFU MKUBWA WA MABOMBA JANGWANI
Mabomba hayo ya inchi 16 yenye urefu wa mita 12 yamezolewa na maji kutokana na athari iliyoletwa na mvua kubwa ya mwishoni mwa wiki inayoendelea jijini Dar es Salaam.
“Ni athari kubwa ambayo imesababishwa na mvua hii na mpaka kukata mabomba ya maji, ni muda mrefu tangu mvua ya aina huu kutokea Dar es Salaam”, alisema ...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-
OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.
11 years ago
Habarileo31 Dec
Wizara ya Habari kufuatilia wadeni wa TSN
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo inatarajia kufuatilia kwa karibu kuhakikisha taasisi zote za serikali, zinazodaiwa na Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Ltd, zinalipa madeni hayo haraka.