Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkemia Mkuu, mahakama walaumiwa

WADAU wa Tume ya Ushindani (FCC) wameilaumu Mahakama na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kuwa si wafuatiliaji na wanazorotesha kesi za wafanyabiashara wanaouza bidhaa bandia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mkemia Mkuu waidai polisi bilioni 1.2/-

OFISI ya Mkemia Mkuu wa Serikali inaidai Jeshi la Polisi deni la Sh bilioni 1.2 linalotokana na sampuli wanazozipeleka kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na kupatikana kwa majibu kwenye vielelezo vya kesi mbalimbali.

 

9 years ago

Michuzi

DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.

JIKO ni dawa asilia inayo tolewa na duka la kuuza dawa za asili liitwalo NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOODS CLINIC. Dawa hii ni ya asili kabisa isiyo na kemikali za viwandani na ambayo inatibu na kuponyesha kabisa tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini.
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...

 

10 years ago

GPL

MKEMIA MKUU ABORESHA MATUMIZI YA KEMIKALI ZA MAABARA

Msimamizi wa Utafiti na Mifumo ya Ubora katika ofisi ya Mkemia Mkuu, Benny Mallya (kushoto) akitoa ufafanuzi.  Kulia ni Afisa Habari Idara ya Maelezo, Fatma Salum. Wanahabari waliofika kwenye hafla hiyo. Mallya akionyesha Cheti cha  Kimataifa cha Ubora katika Uthibiti na Ukaguzi katika ofisi ya Mkemia Mkuu . WAKALA Mkuu…

 

11 years ago

Mwananchi

Mkemia Mkuu adai wamedhibiti uuzaji holela wa tindikali

Serikali imesema imefanikiwa kudhibiti matumizi yasiyofaa ya tindikali baada ya kuweka utaratibu unaowaruhusu watu walioorodheshwa tu kununua kemikali hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkemia Mkuu wa Serikali kuwachukulia hatua wadau wasiosajiliwa

Profesa Manyele_0

Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele. (Picha na Maktaba).

Na Beatrice Lyimo, Maelezo

Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewataka wadau wote wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa kemikali kujisajili kabla ya hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Kauli hiyo imetolewa jana jijini Dar es salaam na Mkemia Mkuu wa Serikali Prof. Samwel Manyele wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuwaelimisha wadau wa uuzaji na usafirishaji kuhusiana na usimamizi wa kemikali hatari na...

 

10 years ago

StarTV

Kesi zinazohusu Kemikali, Ofisi ya Mkemia mkuu yakabiliwa na changamoto.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyele amesema kuwa bado ofisi yake inakabiliwa na changamoto ya uchukuaji wa vielelezo pindi kunapojitokeza kesi zinazohusishwa na kemikali za mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kutokana na uhifadhi wa unaotumika kutoka katika eneo la tukio.

 

Profesa Manyele aliyasema hayo katika ufunguzi wa ofisi ya mkemia mku itakayofanyakazi katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ajili ya kusogeza huduma kwa wananchii.

 

Katika...

 

10 years ago

GPL

OFISI YA MKEMIA MKUU YATOA TAARIFA YA DAWA ZA KULEVYA YA MWAKA 2013 NCHINI

Kushoto ni  Mkuu wa kitengo cha Jinai Kemia, Elias Mulima pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi na Makosa ya Jinai na Vinasaba, Gloria Omary wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Gloria Omary alipokuwa akizungumza katika hafla hiyo.…

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA YAMTAKA MKEMIA MKUU KUFUATILIA MATUMIZI YA SIGARA YA KIKO YA MAJI (SHISHA)

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imeiagiza Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kufuatilia matumizi ya sigara ya kiko ya maji (Shisha) katika kumbi za starehe  za hapa nchini kwa kuwa sigara hizo zinahusishwa na  matumizi ya madawa ya kulevya.
Akizungumza katika hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi na walimu bora wa masomo ya kemia na biolojia kwa mwaka 2013-2014 iliyofanyika leo Ijumaa (Septemba 18, 2015), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,  Dkt Donan Mmbando alisema...

 

5 years ago

Michuzi

MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI

 Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru ( aliyenyoosha mkono) akikagua  leo ujenzi wa  jengo la Mahakama Jumuishi  la Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo la Kihonda Wilaya ya Morogoro. Jengo hilo linajumuisha Mahakama Kuu,  Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya zikiwemo ofisi za wadau wote wa Mahakama. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru (wa pili kulia) akizungumza leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Loatha Sanare kuhusu ziara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani