OFISI YA MKEMIA MKUU YATOA TAARIFA YA DAWA ZA KULEVYA YA MWAKA 2013 NCHINI
![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwHz-0uoUVswUKBuUmKTJ-CHS*0qK8S5tJukQky2eA9XZE3YENDay5ESsGuex7ORKBzwA9LSB3sRGZnqm-EtdXpv/1.jpg?width=650)
Kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Jinai Kemia, Elias Mulima pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi na Makosa ya Jinai na Vinasaba, Gloria Omary wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakimsikiliza Gloria Omary alipokuwa akizungumza katika hafla hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-icrqdeL2r9I/VGYWg7imT0I/AAAAAAAGxNQ/jODPZVOqwU4/s72-c/IMG-20141114-WA0009.jpg)
Mh. Lukuvi atoa taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-icrqdeL2r9I/VGYWg7imT0I/AAAAAAAGxNQ/jODPZVOqwU4/s1600/IMG-20141114-WA0009.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge),Mh. William Lukuvi akisoma taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013,wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mjini Dodoma leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GMOuyf_y9mU/VGYWcQr1FrI/AAAAAAAGxNA/QgqTMwe29JM/s1600/IMG-20141114-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JjQE6sSs5LM/VGYWex8Tq6I/AAAAAAAGxNI/e1bLOJRdU7o/s1600/IMG-20141114-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w_H_dbF_Cf4/VGYSlPfWgHI/AAAAAAAGxLw/uoFCtYLbhww/s1600/IMG-20141114-WA0004.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fc6CFYNxaVw/VGYSmsXiHkI/AAAAAAAGxL4/XDdmJ8_qs3I/s1600/IMG-20141114-WA0007.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Serikali yabaini kilogram 6,428.12 za dawa za kulevya mwaka 2013
Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi ya Makosa ya Jinai na Vinasaba kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Bi.Gloria Omari akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo pichani) kuhusu Hali ya Dawa za Kulevya kwa Mwaka 2013 nchini ambapo amesema jumla ya majalada 208 yalipokelewa na kufanyiwa uchunguzi, wakati wa mkutano jana Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkuu wa kitengo cha Sayansi ya Makosa ya Jinai Kemia kutoka Ofisi ya Mkemia...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MIG9k_a9UnA/U-PfcyU3LvI/AAAAAAAF9x0/AyLbr8BMUD0/s72-c/unnamed+(3).jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-MIG9k_a9UnA/U-PfcyU3LvI/AAAAAAAF9x0/AyLbr8BMUD0/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZotLYeoX50U/U-PfdJVQZ5I/AAAAAAAF9x4/Eu2wVZIH1EM/s1600/unnamed+(4).jpg)
Na. Aron Msigwa-MAELEZO.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa ongezeko dogo la mfumuko wa bei nchini kutoka asilimia 6.4 za mwezi June hadi asilimia 6.5 za mwezi Julai 2014 linatokana na kupanda kwa bei za baadhi ya bidhaa na huduma katika maeneo mbalimbali.
Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QDYhWIVWRKw/VF4yQIMkPSI/AAAAAAACubw/aq9-s3PSZps/s72-c/02.jpg)
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yatoa taarifa za mfumuko wa bei nchini.
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDYhWIVWRKw/VF4yQIMkPSI/AAAAAAACubw/aq9-s3PSZps/s1600/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jDw4WYq3J3Y/VF4yPg6F78I/AAAAAAACubs/5SiNJhIMt3s/s1600/03.jpg)
Wananchi wameombwa kutoa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefU-sEIzpM/U2x5FeL3MqI/AAAAAAAFgdQ/jYY0wjq08oQ/s72-c/unnamed+(3).jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATOA TAARIFA YA MFUMUKO WA BEI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefU-sEIzpM/U2x5FeL3MqI/AAAAAAAFgdQ/jYY0wjq08oQ/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JxqD4I4yiHA/U2x5FX71q0I/AAAAAAAFgdU/SyD5-Tzibs8/s1600/unnamed+(4).jpg)
Na. Aron Msigwa – MAELEZO.
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa mwezi Aprili umeongezeka ikilinganishwa na mwezi uliopita kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na sensa ya...
11 years ago
Michuzi12 Mar
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA MWAKA 2013/14
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Twf6T849VFA/Ux61eMEbO7I/AAAAAAACrNU/wKcyjApmjL4/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s72-c/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
DAWA YA JIKO IMETHIBITISHWA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-4lgWbhmWzLI/VlLCq7mbm3I/AAAAAAAIH5Y/d1zpXVZgHik/s640/de21e2e9-bda6-430e-957c-8062849c2a0f.png)
Kufahamu zaidi kuhusu tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume na jinsi dawa ya JIKO inavyo fanya kazi ya kutibu na kuponyesha tatizo la ...
10 years ago
StarTV10 Feb
Kesi zinazohusu Kemikali, Ofisi ya Mkemia mkuu yakabiliwa na changamoto.
Na Joseph Mpangala,
Mtwara.
Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyele amesema kuwa bado ofisi yake inakabiliwa na changamoto ya uchukuaji wa vielelezo pindi kunapojitokeza kesi zinazohusishwa na kemikali za mbalimbali ikiwemo dawa za kulevya kutokana na uhifadhi wa unaotumika kutoka katika eneo la tukio.
Profesa Manyele aliyasema hayo katika ufunguzi wa ofisi ya mkemia mku itakayofanyakazi katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ajili ya kusogeza huduma kwa wananchii.
Katika...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...