Mh. Lukuvi atoa taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013
![](http://2.bp.blogspot.com/-icrqdeL2r9I/VGYWg7imT0I/AAAAAAAGxNQ/jODPZVOqwU4/s72-c/IMG-20141114-WA0009.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge),Mh. William Lukuvi akisoma taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013,wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mjini Dodoma leo.Sehemu ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo.
Kitabu cha Kurasa 56 chenye taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa Mwaka 2013.
Baadhi ya picha za vielelezo ndani ya taarifa hiyo.Picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii,Kanda ya Kati.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdG71GPfFwHz-0uoUVswUKBuUmKTJ-CHS*0qK8S5tJukQky2eA9XZE3YENDay5ESsGuex7ORKBzwA9LSB3sRGZnqm-EtdXpv/1.jpg?width=650)
OFISI YA MKEMIA MKUU YATOA TAARIFA YA DAWA ZA KULEVYA YA MWAKA 2013 NCHINI
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Michuzi16 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w5vOLG3Wwow/U5m3xzgSzcI/AAAAAAAAj3g/oOZc_lYvoBU/s72-c/unnamed.jpg)
Wasira awasilisha Bungeni Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2013 na Mpango na Maendeleo wa Taifa 2014/15
![](http://3.bp.blogspot.com/-w5vOLG3Wwow/U5m3xzgSzcI/AAAAAAAAj3g/oOZc_lYvoBU/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D88ya0yRMdc/U5m3y3EqfaI/AAAAAAAAj3k/2YwWVvZyjdY/s1600/unnamed.,.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
CloudsFM02 Jun
RAY C AENDELEA NA HARAKATI ZAKE,ATOA ELIMU JUU YA ATHARI ZA MADAWA YA KULEVYA KWA WANAFUNZI WA MAKONGO
STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ameendelea na harakati zake za kutoa elimu juu ya athari za madawa ya kulevya kwenye jamii. Hivi karibuni msanii huyo kupitia Ray C Faundatiaon alitembelea shule ya sekondari ya Makongo na kutoa elimu juu ya athari za madawa hayo kwa wanafunzi wa shule hiyo.
Kupitia account yake ya Instagram aliandika hivi…Ray C Foundation ikitoa Elimu Juu ya athari za madawa ya kulevya katika shule ya secondary Makongo......na Ina mpango wa kuzunguka shule zote za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPdxyRBWLz8suuLHbM1a0JP7BcKJvqx2nCd9UGqKRdCmTWrvhS1CJXKAFd83K-7viS4sQqvVcrr0*wsuFt3ThRP/madawa.gif)
MADAWA YA KULEVYA, CHONJI HALI TETE
10 years ago
GPLWATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA MWAKA 2010 WATINGA KISUTU
11 years ago
Michuzi12 Aug
WAPAKISTANI WALIOKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA WATOROKA NCHINI
![](https://3.bp.blogspot.com/-OpvAc4kMG04/U-mqvPm4mJI/AAAAAAAAgvk/w_L28KbOm7I/s1600/Picture029.jpg)
Imeelezwa kwamba Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa wakiwa na Watanzania wanaotuhumiwa kwa kukutwa na madawa ya kulevya wametoroka nchini.
Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya shilingi bilioni 6.2, Mbezi Beach maeneo ya Jogoo jijini Dar sa Salaam.Habari za uchunguzi ndani ya Mahakama Kuu zinasema kuwa, Jaji Grace Mwakipesile anayesikiliza kesi hiyo ...