Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA MWAKA 2010 WATINGA KISUTU

Watuhumiwa hao wakitolewa mahabusu kwenda kizimbani kusikiliza kesi yao, hata hivyo haikusikilizwa kwa sababu hakimu hakuwepo.
Mtuhumiwa Leila aliyejitanda nguo akizungumza na askari magereza mahakamani hapo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014

PIX 1

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...

 

5 years ago

Michuzi

Watuhumiwa watatu akiwemo raia wa Nigeria wa Dawa za kulevya wapadishwa kizimbani kisutu leo

WAFANYABIASHARA watatu akiwemo Raia mmoja wa Nigeria, David Chukwu 38 Mkazi wa Masaki wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha kilogramu 268.50 za dawa za kulevya na kutakatisha zaidi ya sh. Milioni 150.

Mbali na Chukwu washtakiwa wengine ni Isso Lupembe 49 mkazi wa Mbezi Luis na Allistair Mbele 38 anayeishi Mbezi Kibanda cha Mkaa.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na mawakili wa serikali waandamizi , Veronika Matikila, na...

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Lukuvi atoa taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,Uratibu na Bunge),Mh. William Lukuvi akisoma taarifa ya Hali ya Madawa ya Kulevya nchini kwa Mwaka 2013,wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari (hawapo pichani) Mjini Dodoma leo.
Sehemu ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo.Kitabu cha Kurasa 56 chenye taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa Mwaka 2013.Baadhi ya picha za vielelezo ndani ya taarifa hiyo.Picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii,Kanda ya Kati.

 

10 years ago

Habarileo

Kisutu wawaachia huru watuhumiwa wa EPA

Rajabu MarandaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru Kada wa CCM Rajabu Maranda na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi wizi wa Sh milioni 207 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kesi mtoto wa boksi watinga Polisi

WASHITAKIWA watatu wanaokabiliwa na shitaka la kumfungia katika boksi mtoto Nasra Rashid, jana walipelekwa Kituo Kikuu cha Polisi mjini hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi. Ombi la kutaka washitakiwa hao;...

 

11 years ago

GPL

‘BIBI WA MADAWA MNIGERIA’ ASOMEWA MASHITAKA KISUTU

Mtuhumiwa alipofikishwa mahakamani hapo. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemsomea mashtaka raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (64) ya tuhuma za kukamatwa na madawa ya kulevya gramu 831.94 zenye thamani ya shilingi za Kitanzania milioni 37.4. Mwendesha Mashtaka, Jackson Chidunda, alisema mbele ya Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo,  Frank Mushi,  kuwa mshtakiwa anakabiliwa na tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya...

 

9 years ago

Michuzi

KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010

 Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Sayansi na TekinolojiaPriska Olomi (kushoto) , akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo, kuhusu kutungwa kwa kanuni za huduma za ziada kwa makampuni ya simu nchini zitakazo walinda watumiaji wa huduma hizo,kulia ni Mkuu wa kitengo cha Sheria wa Wizara hiyo,Veronika Sudayi. (Picha na Hassan Silayo).
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...

 

11 years ago

Habarileo

DPP ataka ombi la watuhumiwa ghorofa la Kisutu litupwe

UPANDE wa Jamhuri umeiomba Mahakama kutupilia mbali ombi la marejeo ya amri na uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kubadilisha mashitaka na kufuta dhamana kwa washitakiwa tisa, kwa kuwa halina msingi kisheria.

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA MADAWA YA KULEVYA-2

Madawa ya kulevya aina ya bangi. WIKI iliyopita tulijadili kwa urefu madhara ya madawa ya kulevya kiafya.
Tulifafanua kwa urefu kuhusu madawa aina ya kokaine na heroine na tukataja madhara yanayowapata watumiaji wa mihadharati hiyo.
Leo tunaendelea kuchambua mimea aina ya bangi na mirungi ambayo hapa nchini inahesabika kuwa ni madawa ya kulevya. Bangi
Bangi ina madhara kiafya na ndiyo maana serikali imeupiga marufuku mmea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani